Utafanje sasa lazima uongeze bajeti yako na vifaa al shabab wamewakalia kooni pambaneni tu na hali zenu uzuri marekani wanawasaidia sana kuwapatia vifaa vyao viwasaidie. Tz na Ug hatupo vitani na yoyote hivyo hatuna sababu ya kutenga bajeti kubwa kijeshi.Leteni nyokonyko au tuombe mechi ya kirafiki...... Na msilete historia za mababu eti Idd Amin mara majimaji rebellion, au wale child soldiers wa M23 tunaongea kuhusu modern military warfare.
Vita vya sasa balaa, adui ni mtu anayekuja kujilipua lipua hata kabla hamjaanza vita...keshaamua liwalo na liwe aende ahera..
Kenya namba 85 - bajeti $595,000,000
Uganda namba 93 - bajeti $280,000,000
Tanzania namba 98 - bajeti $220,000,000
Full list 2018 Military Strength Ranking
unazungumza kana kwamba hujui kuwa Kenya ndio inazuia magaidi kufika humo na pia Uganda...bila Kenya alshabaab wangeingia kote mpaka tz, hivyo mna memngi ya kutushukuru...wangekuwa wanaingia nchini wanatoa tanzanite wanaenda kuuza..huo ukuta ungelipuliwa ubaki vumbiUtafanje sasa lazima uongeze bajeti yako na vifaa al shabab wamewakalia kooni pambaneni tu na hali zenu uzuri marekani wanawasaidia sana kuwapatia vifaa vyao viwasaidie. Tz na Ug hatupo vitani na yoyote hivyo hatuna sababu ya kutenga bajeti kubwa kijeshi.
HAKI KWELI UJINGA NI MZIGO SASA TUWE NA BAJETI KUBWA YA JESHI KWANI TUNA VITA AU TUMEVAMIWA NA MAGAIDI SISI TUKO BUSY NA SGR, DREAMLINERS NA DODOMA CITY PROJECT+ BAGAMOYO PORT(ABP)Leteni nyokonyko au tuombe mechi ya kirafiki...... Na msilete historia za mababu eti Idd Amin mara majimaji rebellion, au wale child soldiers wa M23 tunaongea kuhusu modern military warfare.
Vita vya sasa balaa, adui ni mtu anayekuja kujilipua lipua hata kabla hamjaanza vita...keshaamua liwalo na liwe aende ahera..
Kenya namba 85 - bajeti $595,000,000
Uganda namba 93 - bajeti $280,000,000
Tanzania namba 98 - bajeti $220,000,000
Full list 2018 Military Strength Ranking
Weee nyie mna ugomvi na alshabab mlipeleka majeshi yenu kule somalia,,Tz hatuna ugomvi na alshabab tafadhali usituhusisheunazungumza kana kwamba hujui kuwa Kenya ndio inazuia magaidi kufika humo na pia Uganda...bila Kenya alshabaab wangeingia kote mpaka tz, hivyo mna memngi ya kutushukuru...wangekuwa wanaingia nchini wanatoa tanzanite wanaenda kuuza..huo ukuta ungelipuliwa ubaki vumbi
Tunakamata maelfu ya wa Ethiopia na wasomali kila siku Tanzania_ na wanapitia Kenya huko Mombasa.. Imagine watu mamia wanapita Kenya bila hata nyie kujua halafu mnajisifu na bajeti?? Sisi hatuna vita wala hatuko involved with any regional conflicts sasa bajeti yote ya Nini? Ukisoma ripoti ya mwaka Jana utaona hatukununua chochote yani Zero procurement. Hiyo Pesa tuliyo save imejenga viwanda vya jeshi vya kuzalisha Bidhaa ikiwemo maji na small arms..unazungumza kana kwamba hujui kuwa Kenya ndio inazuia magaidi kufika humo na pia Uganda...bila Kenya alshabaab wangeingia kote mpaka tz, hivyo mna memngi ya kutushukuru...wangekuwa wanaingia nchini wanatoa tanzanite wanaenda kuuza..huo ukuta ungelipuliwa ubaki vumbi
Hivi hio global firepower ranking hujui ni uongo mtupu? Ni nani anayeandika hizo information? Mkenya unadanganyikahapa lazima watakuja na povu
Hivi hio global firepower ranking hujui ni uongo mtupu? Ni nani anayeandika hizo information? Mkenya unadanganyika
Knife wielding thieves in Congo expose how weak your rag tag army is.After all no country discloses proper information regarding firepower and militia issues.
How many kenyan soldiers have died in the hands of bare footed starving al-shabaab? Which war did kenya won?Knife wielding thieves in Congo expose how weak your rag tag army is.
unazungumza kana kwamba hujui kuwa Kenya ndio inazuia magaidi kufika humo na pia Uganda...bila Kenya alshabaab wangeingia kote mpaka tz, hivyo mna memngi ya kutushukuru...wangekuwa wanaingia nchini wanatoa tanzanite wanaenda kuuza..huo ukuta ungelipuliwa ubaki vumbi