Global Publishers na Orijino Komedi

Global Publishers na Orijino Komedi

Balantanda

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2008
Posts
12,480
Reaction score
4,775
Hivi jamani hawa jamaa wa Global Publishers(chini ya E.J.Shigongo) wametibuana nini na Orijino Komedi ya kina Masanja???,maana sasa hivi kila kukicha unakuta magazeti ya GPL na mtandao wao utakuta wameandika habari ambazo kwa kiasi kikubwa zinakuwa na lengo la kuiangamiza Orijino Komedi(kwa mtizamo wangu),imefikia hatua jamaa wa GPL wameweka mada kwenye mtandao wao ambayo inawataka wasomaji wa mtandao huo kutoa maoni juu ya ufanisi wa Orijino Komedi walipokuwa EATV na sasa walivyo TBC1,kwa mfano angalia habari hii www.globalpublishertztz.com/2009/01/03/changia_mada_ya_leo.html#comment pia habari hii Global Publishers - Tanzania Newspapers na hii http://www.globalpublisherstz.com/2009/01/03/komedi_wizi_mtupu_wazua_kizaazaa_kariakoo.html ...Hivi tatizo nini hasa jamani???,ni Orijino Komedi ama GPL????
 
Hawa GPL yawezekana wanalipa fadhila kwa jamaa maana akina Joti wanakandia sana kiaina chanel tano...kwa hiyo na hawa GPL wanajitahidi sana kuwashusha utakuta habari kibao zinazo wahusu hawa jamaa ni kukandia ze comedy mbona hawajaandika walivyo funika kwa Markia hapo walipo enda????
Ni wazi hawa jamaa wana -attitude na ze comedy.
 
Hawa GPL yawezekana wanalipa fadhila kwa jamaa maana akina Joti wanakandia sana kiaina chanel tano...kwa hiyo na hawa GPL wanajitahidi sana kuwashusha utakuta habari kibao zinazo wahusu hawa jamaa ni kukandia ze comedy mbona hawajaandika walivyo funika kwa Markia hapo walipo enda????
Ni wazi hawa jamaa wana -attitude na ze comedy.

Ndo hapo sasa mkulu,may be kuna kitu hapa,kwa nini GPL waingilie(ni hisia zangu tu) mgogoro wa EATV na Orijino Komedi??,hapa kuna matatu(kwa mtizamo wangu),labda GPL wametibuana na Orijino Komedi,ama wametibuana na TBC1 ama wameamua kushirikiana na EATV kuwamaliza Orijino Komedi ambao umaarufu wao umeanza kurudi kwa kasi hasa kupitia ile sehemu katika kipindi chao ianyoitwa 'Enzi za mwalimu..........................WIZI MTUPU...Tatizo ni nini hasa wakulu???
 
Mkuu Balantanda.
Hawa jamaa kuna mgongo wa nyuma kuna ishu haiwezekani.Sasa hivi wameanzisha eti watu watoe maoni kuporomoka kwa Ze comedy.Kama hawatumiwi na chanel tano basi waliingiliana anga za kiutu uzima.
Kwa maana bifu za waswahili mala kibao iwa ni wanawake au masrahi.
 
Mkuu Balantanda.
Hawa jamaa kuna mgongo wa nyuma kuna ishu haiwezekani.Sasa hivi wameanzisha eti watu watoe maoni kuporomoka kwa Ze comedy.Kama hawatumiwi na chanel tano basi waliingiliana anga za kiutu uzima.
Kwa maana bifu za waswahili mala kibao iwa ni wanawake au masrahi.

Kweli kabisa mkulu lazima kuna kitu nyuma ya pazia
 
Back
Top Bottom