Globalization spreads cov-19, Not Virus!

Globalization spreads cov-19, Not Virus!

No Escape

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2016
Posts
6,663
Reaction score
7,785
Ndio ni kweli kabisaa! Nadhani hii ni matokeo ya utandawazi na katika mikakati ya wazungu kuanzisha utandawazi ili kushare majanga kama haya baada ya kuona yanatokea kwao Tu!

Kuna member mwenzetu humu ameeleza vizuri kuhusu majanga km haya ya Corona kuwahi kutokea huko nyuma na Athari hazikuoneka kwa kiasi kikubwa huku kwetu yaliishia hukohuko kwao na baadhi ya nchi huku Afrika hatukujua lolote hata mpaka maradhi yanaisha hatukuwa na Updates zozote km tunazosomewa kila siku mitandaoni.

Nadiriki kusema Utandawazi huu unaofanya Dunia kuwa kijiji ndio unasababisha yote haya maana lazima tukubali kuna mataifa makubwa yana uwezo wa kutangaza chochote ili mradi wanajua maslahi yake...Naamini kabisa utandawazi usingekuwepo Corona isingetufikisha hapa Tulipo leo Afrika!!

Waafrika Tuzinduke safari bado ni Ndefu japo basi hata wajukuu zetu wapate pa kuanzia sie tushachelewa.
 
Wazungu wako vizuri tatizo niccm kusambaza ukimwi na corona East Africa community
 
Ndio ni kweli kabisaa! Nadhani hii ni matokeo ya utandawazi na katika mikakati ya wazungu kuanzisha utandawazi ili kushare majanga kama haya baada ya kuona yanatokea kwao Tu!

Kuna member mwenzetu humu ameeleza vizuri kuhusu majanga km haya ya Corona kuwahi kutokea huko nyuma na Athari hazikuoneka kwa kiasi kikubwa huku kwetu yaliishia hukohuko kwao na baadhi ya nchi huku Afrika hatukujua lolote hata mpaka maradhi yanaisha hatukuwa na Updates zozote km tunazosomewa kila siku mitandaoni.

Nadiriki kusema Utandawazi huu unaofanya Dunia kuwa kijiji ndio unasababisha yote haya maana lazima tukubali kuna mataifa makubwa yana uwezo wa kutangaza chochote ili mradi wanajua maslahi yake...Naamini kabisa utandawazi usingekuwepo Corona isingetufikisha hapa Tulipo leo Afrika!!

Waafrika Tuzinduke safari bado ni Ndefu japo basi hata wajukuu zetu wapate pa kuanzia sie tushachelewa.
Hata JF unayotumia ni sehemu ya utandawazi.

Kuna mambo kadhaa hapa yanayochochea maambukizi kuonekana sana.

1. Ongezeko la watu.
2. Watu kuingilia makazi ya wanyama kulima na kufanya shughuli nyingine.
3. Watu kula vitu ambavyo hawakuwahi kula awali.Hususan nyama.
4. Watu kusafiri sana, kwa haraka, sehemu nyingi za dunia.
5.Watu kutozingatia masharti ya usafi na afya bora.

Utandawazi ni kama moto. Unaweza kuutumia moto kupika chakula, unaweza kuutumia moto kuunguza nyumba.

Ingawa utandawazi unachangia kuongeza maambukizi, utandawazi huo huo unachangia kuelimisha watu kunawa mikono, watu wamefanya tafiti kwa urahisi kupitia utandawazi etc.

Tusilaumu utandawazi, tulaumu utandawazi unavyotumika.

By the way, pandemics za 1918 na hata kabla zilitokea bila utandawazi.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa You blame white people without any evidence ...In African people they criticised Magufuli and his people by brought corona
We jamaa pumba sana!! Uvivu hata kujibu...
 
Sasa You blame white people without any evidence ...In African people they criticised Magufuli and his people by brought corona
We jamaa pumba sana!! Uvivu hata kujibu...
 
Tunafanyaje sasa?

Sisi wengine tunategemea utandawazi ili tuishi(kupata hela yani).
 
Sasa You blame white people without any evidence ...In African people they criticised Magufuli and his people by brought corona
Ungeandika hivi: Sasa unawalaumu wazungu bila kuwa na ushahidi wowote. Kwa Waafrika, wanawakosoa Magufuli na watu/wananchi wake kwa kuleta Korona..
Wengi wetu tungeelewa nini unataka kutuambia. Vinginevyo ni balaa tupu.
 
Back
Top Bottom