No Escape
JF-Expert Member
- Mar 7, 2016
- 6,663
- 7,785
Ndio ni kweli kabisaa! Nadhani hii ni matokeo ya utandawazi na katika mikakati ya wazungu kuanzisha utandawazi ili kushare majanga kama haya baada ya kuona yanatokea kwao Tu!
Kuna member mwenzetu humu ameeleza vizuri kuhusu majanga km haya ya Corona kuwahi kutokea huko nyuma na Athari hazikuoneka kwa kiasi kikubwa huku kwetu yaliishia hukohuko kwao na baadhi ya nchi huku Afrika hatukujua lolote hata mpaka maradhi yanaisha hatukuwa na Updates zozote km tunazosomewa kila siku mitandaoni.
Nadiriki kusema Utandawazi huu unaofanya Dunia kuwa kijiji ndio unasababisha yote haya maana lazima tukubali kuna mataifa makubwa yana uwezo wa kutangaza chochote ili mradi wanajua maslahi yake...Naamini kabisa utandawazi usingekuwepo Corona isingetufikisha hapa Tulipo leo Afrika!!
Waafrika Tuzinduke safari bado ni Ndefu japo basi hata wajukuu zetu wapate pa kuanzia sie tushachelewa.
Kuna member mwenzetu humu ameeleza vizuri kuhusu majanga km haya ya Corona kuwahi kutokea huko nyuma na Athari hazikuoneka kwa kiasi kikubwa huku kwetu yaliishia hukohuko kwao na baadhi ya nchi huku Afrika hatukujua lolote hata mpaka maradhi yanaisha hatukuwa na Updates zozote km tunazosomewa kila siku mitandaoni.
Nadiriki kusema Utandawazi huu unaofanya Dunia kuwa kijiji ndio unasababisha yote haya maana lazima tukubali kuna mataifa makubwa yana uwezo wa kutangaza chochote ili mradi wanajua maslahi yake...Naamini kabisa utandawazi usingekuwepo Corona isingetufikisha hapa Tulipo leo Afrika!!
Waafrika Tuzinduke safari bado ni Ndefu japo basi hata wajukuu zetu wapate pa kuanzia sie tushachelewa.