Glock 17 kama ya Sabaya

Sabaya atakula matunda ya ujinga wa kumuabudu jiwe na alivyokuwa zoba wala hajutii makosa yake bado anajiona yeye ni special kama alivyoaminishwa na mungu wake jiwe.
Akiingia pale mahakamani ana bashasha kama vile hajawahi kuwafanyia watu kitu kibaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…