INAUZWA Glorious appetizer (pilipili ya matunda na mboga za majani organic)

Ehee
 
Mods si watu wazuri wameipeleka jukwaa la matangazo madogo na heading wamebadili ila wahenga mnijibu miaka ya 90 ubungo stand ilikuwepo?
Hivi kumbe katupiga changa la macho eeh!?
 
[emoji23][emoji23][emoji23] kisusio na pilipili wapi na wapi, mi nataka story tu pilipili utanunua wewe
Aisee, ndio uwe mvumilivu sasa.
Hata sentensi huwa ina vituo ili kumfanya msomaji asiishiwe pumzi.
 
Ukitaka kuuza andika inaongeza nguvu za kiume uone vijana wa Bashite watakavyotoa order kwa fujo.
 
ivi kumbe kuna namba za simu hapo, nlikua sijaziona ndo naziona hapa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…