GLYCERINE ina faida na hasara gani?

GLYCERINE ina faida na hasara gani?

Mm ninavyojuw hiyo kitu imetengenezwa kwa chemical hata unapoiweka kiganjani nakusuguwa huleta joto na pia hupelekea moto kuwaka endapo ukiisogeza kwenye chanzo cha moto. 🔹Hii chemical unapoipaka juu ya ngozi yako huingia ndani ya sweat glands na kuharibu mfumo mzima wa ngozi yako jinsi inavyo pambana to regulate body temperature ili kuendana na hali ya mazingira husika.

🔹Pia huathiri afya ya nywele/vinyweleo vya mwili wako.
In short sio nzuri kwa matumizi ya moja kwa moja, ukiangalia vizur mafuta unayojipaka yameisha changanywa na glycerin katka kiwango sahihi kutoka kiwandani hivyo usipende sana kutumia hii kitu mkuu🚶🚶 ngoja niwafate watalamu wa hizi mambo wakufafanulie zaidi.
ABSKIN2.GIF
 
Wakuu naomba kujua faida na hasara za Glycerine kwenye ngozi!
Glyceline ipi unayoulizia

Zambia glyceline? Day by day glyceline? Tanzania glyceline? au South Africa glyceline?

Funguka nikufungukie.
 
Mm ninavyojuw hiyo kitu imetengenezwa kwa chemical hata unapoiweka kiganjani nakusuguwa huleta joto na pia hupelekea moto kuwaka endapo ukiisogeza kwenye chanzo cha moto. [emoji843]Hii chemical unapoipaka juu ya ngozi yako huingia ndani ya sweat glands na kuharibu mfumo mzima wa ngozi yako jinsi inavyo pambana to regulate body temperature ili kuendana na hali ya mazingira husika.

[emoji843]Pia huathiri afya ya nywele/vinyweleo vya mwili wako.
In short sio nzuri kwa matumizi ya moja kwa moja, ukiangalia vizur mafuta unayojipaka yameisha changanywa na glycerin katka kiwango sahihi kutoka kiwandani hivyo usipende sana kutumia hii kitu mkuu[emoji124][emoji124] ngoja niwafate watalamu wa hizi mambo wakufafanulie zaidi.
View attachment 2492548
Kwamba ukiweka na ka picha ka ngozi, ndipo tutakuamini?
 
Glyceline ipi unayoulizia

Zambia glyceline? Day by day glyceline? Tanzania glyceline? au South Africa glyceline?

Funguka nikufungukie.
Kwani zina tofauti bro maana tumezoea yoyote twende
Masaada kutufafanulia
 
Glycerine 100%
 

Attachments

  • IMG-20221228-WA0007.jpg
    IMG-20221228-WA0007.jpg
    36.8 KB · Views: 68
Kuna vijana wa hovyo wanaipigia punyeto kabisa
 
Mm ninavyojuw hiyo kitu imetengenezwa kwa chemical hata unapoiweka kiganjani nakusuguwa huleta joto na pia hupelekea moto kuwaka endapo ukiisogeza kwenye chanzo cha moto. [emoji843]Hii chemical unapoipaka juu ya ngozi yako huingia ndani ya sweat glands na kuharibu mfumo mzima wa ngozi yako jinsi inavyo pambana to regulate body temperature ili kuendana na hali ya mazingira husika.

[emoji843]Pia huathiri afya ya nywele/vinyweleo vya mwili wako.
In short sio nzuri kwa matumizi ya moja kwa moja, ukiangalia vizur mafuta unayojipaka yameisha changanywa na glycerin katka kiwango sahihi kutoka kiwandani hivyo usipende sana kutumia hii kitu mkuu[emoji124][emoji124] ngoja niwafate watalamu wa hizi mambo wakufafanulie zaidi.
View attachment 2492548
acha kutisha watu
 
Mm ninavyojuw hiyo kitu imetengenezwa kwa chemical hata unapoiweka kiganjani nakusuguwa huleta joto na pia hupelekea moto kuwaka endapo ukiisogeza kwenye chanzo cha moto. [emoji843]Hii chemical unapoipaka juu ya ngozi yako huingia ndani ya sweat glands na kuharibu mfumo mzima wa ngozi yako jinsi inavyo pambana to regulate body temperature ili kuendana na hali ya mazingira husika.

[emoji843]Pia huathiri afya ya nywele/vinyweleo vya mwili wako.
In short sio nzuri kwa matumizi ya moja kwa moja, ukiangalia vizur mafuta unayojipaka yameisha changanywa na glycerin katka kiwango sahihi kutoka kiwandani hivyo usipende sana kutumia hii kitu mkuu[emoji124][emoji124] ngoja niwafate watalamu wa hizi mambo wakufafanulie zaidi.
View attachment 2492548

Mimi nimezaliwa sehem za baridi!
Tangu nakua naona mama anachanganya mafuta yake na hiyo kitu! Namie nimekua natumia hiyo kitu maisha yangu yote 38 na nina ngozi kavu uso mkavu bila hiyo uso unakua mkavu unapauka balaaa!
 
Back
Top Bottom