jimmy jimble
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 216
- 216
trueeAtarii... G nako hajawah niangusha katika hili inshort hii ngoma Kali kuliKo ile ya ndugu yake Joh_WAYA
Mkuu wacha kucompare go low na vitu vya kijinga!Atarii... G nako hajawah niangusha katika hili inshort hii ngoma Kali kuliKo ile ya ndugu yake Joh_WAYA
Tatzo umekalili ishu ya beat kucopy haipo.. bongo sample ya beat ni zile zile zina fanana ishu ipo kwenye mix tu ndio tofauti.. kwahyo kuhusu cjui kucopy ya Ben pol huo ni unazi binafsiWote walioisifia huu wimbo basi tuwaangalie marambili mbili,
wimbo mbovu haufai kukaa hata bonus track, wao wenyewe wanachokiimba hawakielewi,
beat ni copy ya Ben pol- Phone...
Yani wimbo wa hovyohovyo
Luvanga1 Ukiambiwa usipende kubisha bisha,Jux sijui kwanini anafanya haya mamiziki ya ajabu ajabu, angebaki kwenye muziki wake aliyoanza nao, maana sioni akifanya vizuri huku kwingine, huu wimbo ni wa hovyo.
MmmmmhBinafsi sijaisikiliza! ila ngoma iko powa vbaya
AlamsikiLugha shida kidogo.. wimbo uko ovyo hayo ni maoni yako mwenyewe na baki nayo kwann tubishane #Go__Low