Gnako na Jux mmetisha

Atarii... G nako hajawah niangusha katika hili inshort hii ngoma Kali kuliKo ile ya ndugu yake Joh_WAYA
Waya sio wimbo wa kitoto kama mnavodhani...
huu wimbo wa golow haueleweki wa south africa sio wasauzi ,yani hawaeleweki....
wapunguze kuiga iga....
wimbo haueleweki..
 
Wabongo bwana, yaani JUX ni mwanamuziki siku hizi, vipi unga alisha acha kuuza?
 
Waya sio wimbo wa kitoto kama mnavodhani...
huu wimbo wa golow haueleweki wa south africa sio wasauzi ,yani hawaeleweki....
wapunguze kuiga iga....
wimbo haueleweki..


Ni kweli, wasanii wa bongo fleva hawana mtazamo hata kidogo. Hakuna msanii yeyote wa bongo fleva aliyewahi kupiga muziki wake mwenyewe....kwao kila kitu ni kukopi na kupaste kisha wanabatizwa fulani ni King wa Kwaito wakati kwaito ni muziki wa South Afrika, au fulani ni malkia wa Zouk na beats za Kinigeria....fleva inaboa kishenzi na wafuasi wake ni sawa na misukule ya Wema au Chadema.....wanaamishwa tu bila kuwaza au kufikiri.
 
Kwa tunaopenda kwenda club kuruka majoka...ile ngoma inabamba sana asikwambie mtu!!! Ubaya na uzuri wa ngoma upo masikioni kwa msikilizaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…