GNI per capital ya Tanzania

chase amante

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2018
Posts
5,599
Reaction score
2,115
Habarini wanajamvi.

Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, naomba msaada wa kujua GNI per capita ya Tanzania mwaka 2020.

Nitashukuru zaidi Nikipata na source ya habari.
 
Hahahahahahahaha..........

Hiyo.graph imepanda bila ya hata kuyumba kidogo mkuu!!
Duh!
Kila mwaka GDP inapanda hivyo Graph za GDP na Per capita zinapanda daima kwetu.
Ingekuwa ni za GDP growth (%) au Per capita growth (%) ndo zingepanda na kushuka maana kuna kipindi asilimia za ukuaji zinakuwa juu wakati mwingine chini.
Hiyo Graph haina shaka kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…