Masokotz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,713
- 6,121
Katika safari ya ujasiriamali huwa kuna changamoto nyingi sana lakini kubwa kuliko ni namna ya kupata wateja.
Unaweza kuwa na Bonge la Idea lakini bado usipate wateja,Unaweza kuwa na Product nzuri sana lakini usipate wateja na Unaweza kuwa na soko zuri sana lakini bado usipate wateja,Unaweza kuwa na kila kitu "By the Book" na bado usipate wateja.
Cha kushangaza zaidi ni hiki,Unaweza kuwa huna idea ya maana wala huna product ya maana wala huna soko wala huna locationa bomba lakini ukiwa unauza kupita kiasi.Swali inakuaje iwe hivi?
Tofauti iko katika namna unavyojiuza,"People do not buy your idea/product/location-People buy into you""To sell your self you must put yourself up for sale,you must have the message clearly on your forehead that you are up for sale"
Nimeweke kizungu hapo maana kuna watu wanaamini Point lazima iwekwe kwa kizungu ila Ninachotaka kusema ni kwamba watu hawanunui bidhaa,wala wazo,wala location bali wanakununua wewe,Kama wewe hujiuzi basi hawawezi nunua chochote chako.
Ukitaka kufahamu ukweli wa hilo angalia mabadiliko yanayotokea katika biashara ya Bar ukibadilisha wahudumu na kuleta wahaudumu wapya na wasafi,Angalia mabadiliko yanayotokea katika biashara yako ukiweka binti wa kike mrembo na mkarimu.Simaanishi kwamba biashara ili iuze lazima uweke mwanamke au bar ili iuze lazima uweke wahudumu warembo(Uzuri unategemea na muonaji) Hapana namaanisha kwamba watu hununua zaidi ya kile unachouza na wako tayari kulipia zaidi kama wakiona thamani ya pesa.
Kujiuza ni rahisi kusema ila sio rahisi kutekeleza.Ni hatua ambayo inahitaji ujielewe,uelewe wateja wako na zaidi uwe tayari kubadilika na soko na kusikiliza yale yanayosemwa n a yasiyosemwa.
Tujdili hapa mbinu unaweza tumia katika kujiuza ili kufikia malengo yako ya kibiashara na kimaisha
Karibuni
Unaweza kuwa na Bonge la Idea lakini bado usipate wateja,Unaweza kuwa na Product nzuri sana lakini usipate wateja na Unaweza kuwa na soko zuri sana lakini bado usipate wateja,Unaweza kuwa na kila kitu "By the Book" na bado usipate wateja.
Cha kushangaza zaidi ni hiki,Unaweza kuwa huna idea ya maana wala huna product ya maana wala huna soko wala huna locationa bomba lakini ukiwa unauza kupita kiasi.Swali inakuaje iwe hivi?
Tofauti iko katika namna unavyojiuza,"People do not buy your idea/product/location-People buy into you""To sell your self you must put yourself up for sale,you must have the message clearly on your forehead that you are up for sale"
Nimeweke kizungu hapo maana kuna watu wanaamini Point lazima iwekwe kwa kizungu ila Ninachotaka kusema ni kwamba watu hawanunui bidhaa,wala wazo,wala location bali wanakununua wewe,Kama wewe hujiuzi basi hawawezi nunua chochote chako.
Ukitaka kufahamu ukweli wa hilo angalia mabadiliko yanayotokea katika biashara ya Bar ukibadilisha wahudumu na kuleta wahaudumu wapya na wasafi,Angalia mabadiliko yanayotokea katika biashara yako ukiweka binti wa kike mrembo na mkarimu.Simaanishi kwamba biashara ili iuze lazima uweke mwanamke au bar ili iuze lazima uweke wahudumu warembo(Uzuri unategemea na muonaji) Hapana namaanisha kwamba watu hununua zaidi ya kile unachouza na wako tayari kulipia zaidi kama wakiona thamani ya pesa.
Kujiuza ni rahisi kusema ila sio rahisi kutekeleza.Ni hatua ambayo inahitaji ujielewe,uelewe wateja wako na zaidi uwe tayari kubadilika na soko na kusikiliza yale yanayosemwa n a yasiyosemwa.
Tujdili hapa mbinu unaweza tumia katika kujiuza ili kufikia malengo yako ya kibiashara na kimaisha
Karibuni