masoud mshahara
JF-Expert Member
- Mar 31, 2018
- 4,712
- 2,010
1. Kama umesoma jambo , kisha ukaja na tafsiri zako, wajuvi wa lile jambo wanapokupa tafsiri sahihi halafu wewe unaleta ubishi , hilo ni tatizo la msomajiKwanii iwe tatizo ni la msomaji na si kinachosomwa?
Ni wakati gani kinachosomwa kinakuwa na mkosa na wakati gani msomaji ndiye anakuwa na makosa?
Nadhan alikua anaelezea concept ya kwamba : muumbaji hawezi kuathiriwa na alichokiumba...If Allah created Time, then he cant be affected by it. If Allah created Space (the universe) He cant be affected by it.Mleta mada umenivuruga kidogo. Mimi naamini kuwa Mungu yupo, lakini unaposema alikuwepo kabla ya muda na yeye ndiye aliyetengeneza muda, ni vipi tukio la yeye kuwepo litokee nje ya muda. Hebu nifafanulie hapo.
Labda, ila mimi sikubaliani na hilo kwa sababu muda ndiyo chombo kinachotofautisha umbali wa kutoka tukio moja kwenda lingine na katika misingi hiyo tukio lolote linalotokea kabla ya muda ni sawa tukio halikuwepo kabisa.Nadhan alikua anaelezea concept ya kwamba : muumbaji hawezi kuathiriwa na alichokiumba...If Allah created Time, then he cant be affected by it. If Allah created Space (the universe) He cant be affected by it.
Immediate example ni kwamba alieitengeneza radio/computer cyo lazima awepo ndani ya kompyuta au redio ili redio/kompyuta ifanye kazi
Uko vizuri sana mkuu! Nakuelewa!Unaelewa kwamba ukiandika kwa kutumia alphabet umetumia logic ya alphabet?
Na kama logic ni upuuzi, chochote unachoandika kwa alphabet ni upuuzi?
Who is Allah? When did he/she came to be? Before your Allah? Did life exist before??
Imani yako inatokana na unachokiamini...kwa mfano, mada iliopo hapa ni juu ya uwepo wa Mungu. Kaja kiumbe mwingine hapa anakanusha uwepo wa Mungu. So ni afadhal mm na ww tunashndana juu ya Mungu yupi ni wa kuabudiwa, je, ni yule anaeadhiriwa na "MUDA" aliouumba, au yule anaeathiriwa na na "Space"...point ni kwamba, kama muda ulikuepo kabla yake, then who created "TIME"?! Kama space ilkuepo kabla yake, then who created that "SPACE" for Allah and Planets to be in that space??!Labda, ila mimi sikubaliani na hilo kwa sababu muda ndiyo chombo kinachotofautisha umbali wa kutoka tukio moja kwenda lingine na katika misingi hiyo tukio lolote linalotokea kabla ya muda ni sawa tukio halikuwepo kabisa.
Nimekuelewa mkuu, mimi naamini space and time vilikuwa katika uwepo ambao Mungu alianza kuwapo. Kwamba vyote vilianza kwa wakati mmoja na hakuna kilichokiathiri kingine ila vilisaidiana kuanzia point 0 kuja mbele. Kwa sababu unaweza sema space and time vilikuwepo kabla ya Mungu lakini kwaantinki hiyo ni kuwa kabla ya Mungu hakuna tukio lolote na kuelezeka na hivyo kuondoa uthibitisho wa space and time kuwapo kabla yake. Hayo ndo mawazo yangu.Imani yako inatokana na unachokiamini...kwa mfano, mada iliopo hapa ni juu ya uwepo wa Mungu. Kaja kiumbe mwingine hapa anakanusha uwepo wa Mungu. So ni afadhal mm na ww tunashndana juu ya Mungu yupi ni wa kuabudiwa, je, ni yule anaeadhiriwa na "MUDA" aliouumba, au yule anaeathiriwa na na "Space"...point ni kwamba, kama muda ulikuepo kabla yake, then who created "TIME"?! Kama space ilkuepo kabla yake, then who created that "SPACE" for Allah and Planets to be in that space??!
Nikusaidie kumuelewa, anzia kwenye Ku define time.Mleta mada umenivuruga kidogo. Mimi naamini kuwa Mungu yupo, lakini unaposema alikuwepo kabla ya muda na yeye ndiye aliyetengeneza muda, ni vipi tukio la yeye kuwepo litokee nje ya muda. Hebu nifafanulie hapo.
@Stephen CheluI'm sure you are familiar with Allah and have some knowledge of Allah, even if you don't believe in His existence.
So for example, I'm sure you know by definition Allah exists prior to creation. So I don't understand why you ask that loaded question. Allah by definition exists prior to creation. Were I to affirm otherwise, my sentence would be a contradiction. If we affirm the existence of Allah, we necessarily by definition affirm that Allah exists prior to creation. If you wish to deny Allah's existence and attributes, you are free to do so but you should respect that I as a Muslim of course cannot deny my own beliefs. So two out of your four sentences (the middle sentences) imply propositions I necessarily must reject and are not a common ground for discussion.
As to the first sentence, Surah Al-Ikhlas describes Allah (I don't think all His attributes are covered in the Surah but it's a good brief description if you want a brief description- for a more complete description, read the Quran)
Say, "He is Allah, [who is] One,
Allah, the Eternal Refuge.
He neither begets nor is born,
Nor is there to Him any equivalent."
-Surah Al-Ikhlas [112]
As to the last sentence, God by definition necessarily exists prior to creation. Even Christians and Jews would understand that.
Anyways, you brought up the Marxian critique of religion (religion as "opiate of the masses"). Maybe that critique could have seemed plausible and "revolutionary" to people in the 19th century when Marx made that claim. In the latter half of the 19th century, openly opposing religion was still a shocking thing. However, this is a long time later. Even in Marx's day I don't think that was all that "radical"- look at people like Darwin for example. I think Marx was actually part of a trend and that Western culture was turning against religion in that period. So his "revolutionary" stance against religion I think was actually part of a trend.
Things in the period since then have intensified. The Marxist critique of religion is nonsense. The Marxist view is that religion is a "noble lie" promulgated by the system. If we lived 700 years ago, maybe that might seem more convincing. Even in Marx's day, I don't think it was all that convincing when one really examines it. Religion in the West was crumbling at that time.
Anyways, who are the bad guys if you follow the Western media? Muslims and Christians are "terrorists". Muslims more so but Christians also are demonized. In the Cold War period, who was the US fighting? Communists. The USSR has fallen- now who? Muslims. Muslims are portrayed as "enemy #1" of the US. The US people are groomed continually for bombing, invading and killing Muslims. No one is afraid of Marx. You can declare yourself a Marxist all you want. No one cares. Marxism has become part of accepted dogma and is forced on people in the universities. If Marx was really a threat to the system- why do the universities push Marxist doctrine on people? Where I live, I cannot say "God bless you" to someone without being regarded as a "fanatic". Yet I am to believe that the system is pushing religion? It is the reverse. They're not bombing Muslims, killing Muslims, invading Muslim countries, dehumanizing Muslims, targeting Muslims because the system is in favor of religion. The system is terrified of religion. The system is terrified of Muslims. That may have been less obvious in Marx's day and in his time I can understand why people might have thought his critique was "radical"- however, in our day it does not hold up to even cursory examination.
Marxism and his materialism was so "radical" that the so-called "Russian" Revolution was financed by Wall Street bankers:
Amazon product ASIN 1634241231(let anyone read it for themselves and see for themselves if they want)
1. Ni hali ya utambuzi wa viumbe (binadamu) katika kutambua matukio na kutofautisha umbali kutoka tukio moja kwenda jingine.Nikusaidie kumuelewa, anzia kwenye Ku define time.
Nimesoma bandiko la mkuu, lakini sijaona mahali anapoonyesha uhusiano waMungu(Allah) na muda. Uwepo wake katika hatua za mwanzo kabisa za uumbaji hakujengi hoja ya wazi kuwa aliumba muda pia. Labda naweza sema kuwa muda ulitokea wenye kutokana na tukio la uwepo wake kwa kuwa muda hubeba matukio. Labda kama kuna maelezo zaidi.@Stephen Chelu
Kwani mkuu, we unataka muda wa tukio gani??! Unataka kujua muda wa "Post-creation", "Fore-creation", "During-creation" au era ya Mungu before creation??Nimesoma bandiko la mkuu, lakini sijaona mahali anapoonyesha uhusiano waMungu(Allah) na muda. Uwepo wake katika hatua za mwanzo kabisa za uumbaji hakujengi hoja ya wazi kuwa aliumba muda pia. Labda naweza sema kuwa muda ulitokea wenye kutokana na tukio la uwepo wake kwa kuwa muda hubeba matukio. Labda kama kuna maelezo zaidi.
Nachotaka kujua ni ushahidi wa kuonyesha kuwa yeye ndiye aliyecreate time, na kama ndiye aliyecreate time, uwepo wake uliwezekanaje nje ya time (kwa kuwa alikuwa hajaanza uumbaji na time haikuwepo)? Na kama alikuwepo bila time, je uwepo wake kwa kipindi hicho ni wa msingi? Hapo tu.Kwani mkuu, we unataka muda wa tukio gani??! Unataka kujua muda wa "Post-creation", "Fore-creation", "During-creation" au era ya Mungu before creation??
On the authority of Abu Hurayrah (May Allah be pleased with him ) who said that the Messenger of Allah (peace be upon him said:Nachotaka kujua ni ushahidi wa kuonyesha kuwa yeye ndiye aliyecreate time, na kama ndiye aliyecreate time, uwepo wake uliwezekanaje nje ya time (kwa kuwa alikuwa hajaanza uumbaji na time haikuwepo)? Na kama alikuwepo bila time, je uwepo wake kwa kipindi hicho ni wa msingi? Hapo tu.
Then you can't limit/put God in measure of time. Coz time only defines intervals between events. He was before the events. He created laws in which events occur . and one of ts measures/potentials in of power in which the events occur(time).1. Ni hali ya utambuzi wa viumbe (binadamu) katika kutambua matukio na kutofautisha umbali kutoka tukio moja kwenda jingine.
2. Ni mstari wa kufikirika ambao matukio yote hutokea juu yake.
Samahani mkuuUnaikubali quran kama chanzo chako cha kumuelezea mungu
Je unaweza kuniambia quran kaindika nani?
In simple terms Time is one of Gods creation that's why we can't perceive / understand him, unless he makes us do, in a particular area of question1. Ni hali ya utambuzi wa viumbe (binadamu) katika kutambua matukio na kutofautisha umbali kutoka tukio moja kwenda jingine.
2. Ni mstari wa kufikirika ambao matukio yote hutokea juu yake.
Maswali ya uongo ni yapi na ya ukweli ni yapi??Hapa umeuliza maswali ya uongo. Sawa na kuuliza swali,je Mola anaweza kuumba kitu ambacho hawezi kukibeba ? Katika mizani ya kielimu hili ni swali la uongo.
Pili,Allah yupo hata kabla ya wakati/muda kuwepo.
Kwake yeye hakuna kabla yake wala baada yake.
Nachotaka kujua ni ushahidi wa kuonyesha kuwa yeye ndiye aliyecreate time, na kama ndiye aliyecreate time, uwepo wake uliwezekanaje nje ya time (kwa kuwa alikuwa hajaanza uumbaji na time haikuwepo)? Na kama alikuwepo bila time, je uwepo wake kwa kipindi hicho ni wa msingi? Hapo tu.
1. Ni hali ya utambuzi wa viumbe (binadamu) katika kutambua matukio na kutofautisha umbali kutoka tukio moja kwenda jingine.
2. Ni mstari wa kufikirika ambao matukio yote hutokea juu yake.