mara zote warembo hao wanakuwa free hivi na kama wananitazama tazama.
kiuchokozi chokozi...as if wanasema ungekuwa peke yako ........
kinachonishangaza hali hii ni kila siku,
??????
nakuombea mazuri,kwa sababu
nafikiria ku futa nyayo zako...
siwezi kuwa single milele.
Hivi ni kwamba ana zaidi ya mmoja? OMG!!naomba umuulize ana warembo wangapi....?!
Hakuna wa kukuvisha taji hapa,taji la mzinzi ni ukimwi na badala ya kumshukuru Mungu anakuepusha unataka mtupia lawama,Mungu anakujua vizuri kuwa wewe ni mzinzi ndio maana anakutengenezea mazingira hayo,huyo unayemuita sweetheat lotion wako akae akijua hapo unamchezea tuu na hakuna hata chembe ya upendo,sasa kama hao warembo wangekuwa wanatokea wakati uko peke yako sasa hivi si ungekuwa na Merikebu iliyojaa mademu?Jiheshimu wewe!!nalisubiri hilo taji.ninavishinda.....
Hakuna wa kukuvisha taji hapa,taji la mzinzi ni ukimwi na badala ya kumshukuru Mungu anakuepusha unataka mtupia lawama,Mungu anakujua vizuri kuwa wewe ni mzinzi ndio maana anakutengenezea mazingira hayo,huyo unayemuita sweetheat lotion wako akae akijua hapo unamchezea tuu na hakuna hata chembe ya upendo,sasa kama hao warembo wangekuwa wanatokea wakati uko peke yako sasa hivi si ungekuwa na Merikebu iliyojaa mademu?Jiheshimu wewe!!
Haswaaaaaaaaaaaaa.Umenena vema kabisa.Nathani thread ifungwe ashapata majibu yake.kiongozi,
kwa mtizamo wangu mdogo ninaamini GOD CAN NEVER PLAY TRICKS(such tricks if i must be specific) TO YOU.
sasa sema,
tunaweza kuijadili title ya thread yako(kama upo kwenye mlengo wa bluray),au tumwombe invisible aibadilishe...aandike Devil is playing tricks on me????
Kweli hujipendi.Sasa unatafuta wa kukusapoti kwa hizo tamaa zako? Mambo mengine sio ya kilokole ni just Common sense.Ushaambiwa hizo ni tabia za kizinzi,achana nazo hutaki.sasa unataka uambiwe nini?we acha kuwa extreme..
thread ifungwe ili iweje?
taratibu,sio wote walokole humu.
Kweli hujipendi.Sasa unatafuta wa kukusapoti kwa hizo tamaa zako? Mambo mengine sio ya kilokole ni just Common sense.Ushaambiwa hizo ni tabia za kizinzi,achana nazo hutaki.sasa unataka uambiwe nini?
how old are you?????
u r so pathetic,
u really think kila tunchobandika
humu ni that serious sio?
mkuu.
kwanza hongera kwa kuoa.
sikupata mda wa kukupa hongera.
but toka uoe naona umekuwa na busara sana.
nasubiri ukae mwaka mzima nione.
usije kuwa shetani kutuzidi sisi...
Wewe ndio wa ajabu kwanza nakushangaa.Kama unaona kitu sio siriaz kwa nini ukilete hapa? Unataka kupotosha jamii? hujui kuna watu wanasoma humu na wanafanyia kazi huo ushauri?Tabia hii ya kuleta mada zisizo siriaz ni mbaya hasa kwa kipindi hiki cha "Tanzania bila ukimwi inawezekana"how old are you?????
u r so pathetic,
u really think kila tunchobandika
humu ni that serious sio?
KEMEA DADA LAKE NA GEOFF!...ataelewa tu,lolz.eti anakuuliza umri,ili iweje?Wewe ndio wa ajabu kwanza nakushangaa.Kama unaona kitu sio siriaz kwa nini ukilete hapa? Unataka kupotosha jamii? hujui kuna watu wanasoma humu na wanafanyia kazi huo ushauri?Tabia hii ya kuleta mada zisizo siriaz ni mbaya hasa kwa kipindi hiki cha "Tanzania bila ukimwi inawezekana"
I pity you,dont be so naive.
naomba umuulize ana warembo wangapi....?!
Hivi ni kwamba ana zaidi ya mmoja? OMG!!
na wewe pia???
siamini.
wapi nilisema nina zaidi ya mmoja.?
KEMEA DADA LAKE NA GEOFF!...ataelewa tu,lolz.eti anakuuliza umri,ili iweje?[/QUOTE]
Sijui wa wapi huyu? hajui kuwa Age aint nothing but a number!???!!!!
Yani kila siku hili jambo linanitokea ....
naweza kuwa nipo peke yangu sehemu nikakaa mda mrefu..
nisione msichana yeyote wa kunitoa udenda akitokea..
hata barabarani nikitembea kama nipo peke yangu ni hivyo hivyo...
but ikitokea tu naongozana na mrembo hivi au nipo
sehemu hivi na my sweetheart hapo ndio exactly atatokea
msichana kifaaa cha kweli kweli cha kunitoa udenda,yaani
wakati mwingine napoteza network kabisa,nakuwa kama
kama nipo kwenye ganzi hivi kwa dakika kadhaa.
halafu sasa wakati mimi nakuwa nimebanwa na my sweetheart,
mara zote warembo hao wanakuwa free hivi na kama wananitazama tazama.
kiuchokozi chokozi...as if wanasema ungekuwa peke yako ........
kinachonishangaza hali hii ni kila siku,
siwezi kukaa sehemu hivi na mrembo bila mrembo mwingine kutokea
kama Mungu anasema ona kifaa hiki,ona na hiki.....ona hiki sasa...
yaani ni kama upo out na Halle Berry halafu anatokea Beyonce hivi yupo yupo tu
ana gaaa gaa,hujakaa vizuri anatokea Alicia Keys hivi nae anazubaa zubaa anga zako.mmenipata??????