huku yeye akitoa .......Mbunge wa jimbo la Arusha mjini kamanda Lema siku ya leo amechangisha zaidi ya sh 21 ml, kwaajili ya ukarabati wa shule za jiji hilo, huku yeye kama yeye akitoa kiasi cha sh ml 1.8.
Akitoa shukrani hizo kwa wakazi wa arusha alisema: Arusha yetu tutaijenge wenyewe, tupunguze kula mirungi , bia na hanasa zisizo za lazima tushirikiane kwenye mambo ya kijamii, ili Arusha iwe mfano wa kuigwa.Tunajua watawala roho zinawaumwa kuukosa huu mji, ila msijali sinto waangusha endeleeni kunipa ushirikiano Arusha itaenda mbali sana kiuchumi, thnx guyz mungu awabariki sana
kwani mirungi ipo kwa ajili ya nini?lema anatumia mirungi?mbona kasema tuache kula milungi badala ya kusema acheni kula milungi,achunguzwe
mafisadi,...watawala gani wameukosa mji?
blessed lemakwani arusha mkuu wakoa wenu nani?
Godbless Lemanani rais wenu/
Mbunge wa Arusha anatoka chama gani? Je chama kilichotoa mbunge ndiyo chama tawala?watawala gani wameukosa mji? kwani arusha mkuu wakoa wenu nani? nani rais wenu/
hv lema kwanini ulimjia juu zito kwenye kikao chakamati kuu ukitetea chama kinunue magari mabov toka india wakat zito alitetea ushaur wa mzee baregu?hop unachembe zakifisadi toka kijiji cha kilema kule juu.
we tulia umejiunga juz af pumba ndo nying!
watawala gani wameukosa mji? kwani arusha mkuu wakoa wenu nani? nani rais wenu/
funga bakuli lako weye yaani mijitu mingine imejiunga juzi tu ili kuja kuleta malumbano humu ndaniwatawala gani wameukosa mji? kwani arusha mkuu wakoa wenu nani? nani rais wenu/