LGE2024 Godbless Lema ahoji usahihi wa takwimu za uandikishaji zilizotolewa na Waziri Mchengerwa "Nahisi ameshirikiana na mke wake"

LGE2024 Godbless Lema ahoji usahihi wa takwimu za uandikishaji zilizotolewa na Waziri Mchengerwa "Nahisi ameshirikiana na mke wake"

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Godbless Lema, Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini, amemkosoa Waziri Mchengerwa kuhusu takwimu za uandikishaji wa wapiga kura kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Lema amesema kuwa Waziri Mchengerwa alitangaza idadi ya waliojiandikisha kupiga kura Dar es Salaam kuwa milioni 3.483, ikilinganishwa na watu milioni 3.59 waliopo kwa mujibu wa Sensa ya 2022. Ameeleza kuwa idadi hii inaonyesha kasoro, kwani inaashiria kwamba karibu watu wote, hata watoto, wamejiandikisha.

Aidha, Lema amebainisha kuwa Mwanza, idadi ya waliojiandikisha kupiga kura ilikuwa milioni 2.08, huku Sensa ikionesha watu milioni 1.95. Alisema takwimu hizi zinazua maswali kuhusu usahihi wa uandikishaji huu, akihimiza uwazi na uwajibikaji kwenye maandalizi ya uchaguzi huo wa Novemba 2024.
 
Mke wake anaingiaje Hapo?🐼

Mbona Mbowe ni mkwe wa Mtei lakini haisemwi kuwa Lilian anamsaidia Freeman kuongoza Chadema japo kwenye Maandamano Lilian na Bint yao Nicole walikamatwa pamoja na Father house Freeman Mbowe? 😂

Siasa Hizi ndio sababu Benjamin Netanyahu amefanya maamuzi magumu
 
Godbless Lema, Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini, amemkosoa Waziri Mchengerwa kuhusu takwimu za uandikishaji wa wapiga kura kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Lema amesema kuwa Waziri Mchengerwa alitangaza idadi ya waliojiandikisha kupiga kura Dar es Salaam kuwa milioni 3.483, ikilinganishwa na watu milioni 3.59 waliopo kwa mujibu wa Sensa ya 2022. Ameeleza kuwa idadi hii inaonyesha kasoro, kwani inaashiria kwamba karibu watu wote, hata watoto, wamejiandikisha.

Aidha, Lema amebainisha kuwa Mwanza, idadi ya waliojiandikisha kupiga kura ilikuwa milioni 2.08, huku Sensa ikionesha watu milioni 1.95. Alisema takwimu hizi zinazua maswali kuhusu usahihi wa uandikishaji huu, akihimiza uwazi na uwajibikaji kwenye maandalizi ya uchaguzi huo wa Novemba 2024.
kama haamini si alete za kwake huyu mhuni tu
 
Kilichotamkwa kwamba ni idadi ya wapiga kura wa serikali za mitaa ni uhuni tu, na ujinga wa mwafrika.
 
Godbless Lema, Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini, amemkosoa Waziri Mchengerwa kuhusu takwimu za uandikishaji wa wapiga kura kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Lema amesema kuwa Waziri Mchengerwa alitangaza idadi ya waliojiandikisha kupiga kura Dar es Salaam kuwa milioni 3.483, ikilinganishwa na watu milioni 3.59 waliopo kwa mujibu wa Sensa ya 2022. Ameeleza kuwa idadi hii inaonyesha kasoro, kwani inaashiria kwamba karibu watu wote, hata watoto, wamejiandikisha.

Aidha, Lema amebainisha kuwa Mwanza, idadi ya waliojiandikisha kupiga kura ilikuwa milioni 2.08, huku Sensa ikionesha watu milioni 1.95. Alisema takwimu hizi zinazua maswali kuhusu usahihi wa uandikishaji huu, akihimiza uwazi na uwajibikaji kwenye maandalizi ya uchaguzi huo wa Novemba 2024.
Chadema kila kukicha wanazidi kupoteza ushawishi kwa kukosa viongozi wenye weledi na kukumbatia wahuni!
 
Mke na watoto wake wako Canada, hana uchungu kuchochea vita Tanzania, ana roho mbaya sana
 
Godbless Lema, Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini, amemkosoa Waziri Mchengerwa kuhusu takwimu za uandikishaji wa wapiga kura kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Lema amesema kuwa Waziri Mchengerwa alitangaza idadi ya waliojiandikisha kupiga kura Dar es Salaam kuwa milioni 3.483, ikilinganishwa na watu milioni 3.59 waliopo kwa mujibu wa Sensa ya 2022. Ameeleza kuwa idadi hii inaonyesha kasoro, kwani inaashiria kwamba karibu watu wote, hata watoto, wamejiandikisha.

Aidha, Lema amebainisha kuwa Mwanza, idadi ya waliojiandikisha kupiga kura ilikuwa milioni 2.08, huku Sensa ikionesha watu milioni 1.95. Alisema takwimu hizi zinazua maswali kuhusu usahihi wa uandikishaji huu, akihimiza uwazi na uwajibikaji kwenye maandalizi ya uchaguzi huo wa Novemba 2024.
Haina shida yeye lema mke wake SI kawakabidhi wazungu washirikiane naye?
 
Unaposema hizi takwimu sio sahihi leta zako.Takwimu hupingwa kwa takwimu.Ni ujinga kudhani sensa walihesabiwa watu wote. Na ni ujinga kudhani daftari wameandikishwa watu wote wanaoishi Tanzania..Kulikuwa na malengo ya watakaojiandisha na waliojiandikishwa asilimia zimetokana na malengo yaliowekwa.
 
Godbless Lema, Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini, amemkosoa Waziri Mchengerwa kuhusu takwimu za uandikishaji wa wapiga kura kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Lema amesema kuwa Waziri Mchengerwa alitangaza idadi ya waliojiandikisha kupiga kura Dar es Salaam kuwa milioni 3.483, ikilinganishwa na watu milioni 3.59 waliopo kwa mujibu wa Sensa ya 2022. Ameeleza kuwa idadi hii inaonyesha kasoro, kwani inaashiria kwamba karibu watu wote, hata watoto, wamejiandikisha.

Aidha, Lema amebainisha kuwa Mwanza, idadi ya waliojiandikisha kupiga kura ilikuwa milioni 2.08, huku Sensa ikionesha watu milioni 1.95. Alisema takwimu hizi zinazua maswali kuhusu usahihi wa uandikishaji huu, akihimiza uwazi na uwajibikaji kwenye maandalizi ya uchaguzi huo wa Novemba 2024.
Kule advance tunafundishwa kupika data kwenye practical za sayansi!

Nadhani kama taifa tunaitendea haki elimu yetu!
 
Mke wake anaingiaje Hapo?🐼

Mbona Mbowe ni mkwe wa Mtei lakini haisemwi kuwa Lilian anamsaidia Freeman kuongoza Chadema japo kwenye Maandamano Lilian na Bint yao Nicole walikamatwa pamoja na Father house Freeman Mbowe? 😂

Siasa Hizi ndio sababu Benjamin Netanyahu amefanya maamuzi magumu
Sasa huyo si wewe tayari umeshamsema hapa au?
 
Godbless Lema, Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini, amemkosoa Waziri Mchengerwa kuhusu takwimu za uandikishaji wa wapiga kura kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Lema amesema kuwa Waziri Mchengerwa alitangaza idadi ya waliojiandikisha kupiga kura Dar es Salaam kuwa milioni 3.483, ikilinganishwa na watu milioni 3.59 waliopo kwa mujibu wa Sensa ya 2022. Ameeleza kuwa idadi hii inaonyesha kasoro, kwani inaashiria kwamba karibu watu wote, hata watoto, wamejiandikisha.

Aidha, Lema amebainisha kuwa Mwanza, idadi ya waliojiandikisha kupiga kura ilikuwa milioni 2.08, huku Sensa ikionesha watu milioni 1.95. Alisema takwimu hizi zinazua maswali kuhusu usahihi wa uandikishaji huu, akihimiza uwazi na uwajibikaji kwenye maandalizi ya uchaguzi huo wa Novemba 2024.
Gentleman,
kwamba mmesahau kwamba mliisusia sensa ?🐒
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Back
Top Bottom