Godbless Lema amwelekeza Hamad Masauni kutokuhudhuria Mazishi ya Watu Wanaotekwa, atahadharisha kwamba inaweza kusababisha Maafa Mengine

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Maelekezo hayo Kabambe yametolewa Moja kwa moja Mjini Tanga, Mbele ya Hamad Masauni ambaye ni Waziri wa Mambo ya Ndani anayehusika na Usalama wa Raia na Mali zao.

Lema amezungumza kama Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini, ambayo Mzee Ally Kibao alikuwa anatokea.

Hamad Masauni amezomewa na kuteremshwa kwa Aibu Jukwaani na Wananchi wa Tanga wakiihusisha serikali anayoitumikia na Mauaji ya Mzee Ally Kibao.

Mungu Ibariki Tanga

Pia soma
 
Kabisa....
 
Move Iko pazuri maana nyuma kidogo haya walikuwa wanafanyiwa ma'USTADH' pekee kwa kivuli cha kupambana na ugaidi...walikuwa wakinyakuliwa usiku wa manane wengine wakiwa wamelala...huku familia zao zikiteseka na wao wasijulikane walipo...wengi wamepotea bila hatia
Ni wakati sasa wakuungana kupinga ukatili huu wa kijinga
 
Yes wamshikishe adabu, ili akome.
 
Inanikumbusha mazishi ya marehemu makamu mwenyekiti chacha wangwe kulizuka vurugu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…