Au hata katibu mwenezi (Sijui kama hiki cheo kipo chadema, na kama kipo kwa sasa ni nani?).Lemma anafaa sana kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA baada ya ushindi wa Lissu
wajitahidi wasiangukeNdicho anachokitafuta!
Ila anguko la Lissu ni anguko la Lema
Yuko safi sana huyu jamaaKiboko ya Wala rushwa
Amalize kabisa Uchaguzi LemmaNabii Lemma leo iwe mwendo wa Nabii Eliya wa kwenye Biblia, no mercy at all tumia ulimi wako kama Eliya alivyotumia upanga kuwashughulikia makuhani wa baali. Piga kichwani kabisa leo.
Duh!!! Huu mwaka kwakweli upo busy.Mpaka kieleweke hapa ni Bampa to Bampa hatimaye Godbless Lemma kumjibu Ezekiah Wenje na genge lake muda mfupi ujao
Stay tuned Jf.
Bowe katapika bungoNabii kuna shuhuda huku......nini kimetokea?
Mpaka kieleweke hapa ni Bampa to Bampa hatimaye Godbless Lemma kumjibu Ezekiah Wenje na genge lake muda mfupi ujao
Stay tuned Jf.
Lemma ni balaaNabii kuna shuhuda huku......nini kimetokea?
Lemma Katibu MkuuMpaka kieleweke hapa ni Bampa to Bampa hatimaye Godbless Lemma kumjibu Ezekiah Wenje na genge lake muda mfupi ujao
Stay tuned Jf.
Hahaha mafisadi wanaumiza vi hwa sana kuwa Lena, Heche na Lissu wapotee.Ndicho anachokitafuta!
Ila anguko la Lissu ni anguko la Lema
Sawa na waha chini ya chief Theresa Ntare hawakuwa wabaguzi. Waliungana na machief wa mikoa mingine kuunda Tanganyika chini ya Nyerere....Cha ajabu sana waha wanabaguliwa na kuitwa warundi wakati Kigoma ingeweza kubakia kama nchi huru kama zilivyo Rwanda na Burundi.Mpaka kieleweke hapa ni Bampa to Bampa hatimaye Godbless Lemma kumjibu Ezekiah Wenje na genge lake muda mfupi ujao
Stay tuned Jf.