LGE2024 Godbless Lema: Hakuna namna hata kwa muujiza ACT inaweza kuwa na wagombea 2000 nchi nzima

LGE2024 Godbless Lema: Hakuna namna hata kwa muujiza ACT inaweza kuwa na wagombea 2000 nchi nzima

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Siku ya leo akiwa anaongea na wanahabari, Godbless Lema amesema kuwa haamini kama ACT Wazalendo wana uwezo wa kufikisha au kusimamisha wagombea zaidi ya 2000 nchini.

Soma pia: Lema wa CHADEMA afichua madudu mazito kwenye zoezi la uandikishwaji wa wananchi Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Asema Serikali inaiba Uchaguzi

Kwa mujibu wa Lema, amedokeza kuwa huenda ACT Wazalendo wanatumika na CCM kufifisha nguvu ya CHADEMA kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Msikilize zaidi hapo chini:


 
kufilisika kisiasa na kiuchmi ni kitu mbaya sana ndrugo zango. hata kwa muonekano tu inaonyesha dah! maisha haya bana dah 🐒
 
Mpuuzi sana huyu Lema ,yeye anashinda kwenye mitandao akitukana 24/7 ,Mangi chama hakijengwi kwa matusi Mangi.
 
Back
Top Bottom