Godbless Lema: Hata Mbowe naye alikimbia Nchi wakati wa Magufuli sio sisi tu

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kaskazini na ambaye alitajwa kuratibu vuguvugu la Join the Chain, Godbless Lema akizungumza na wanahabari siku ya Ijumaa Januari 17, 2025 mkoani Dar es Salaam, kuhusu vuguvugu hilo na tuhuma zilizotolewa na Ezekia Wenje.

Your browser is not able to display this video.
 
Na mimi nilishangaa Mbona Mbowe alikua Dubai, hata siku mama samia anahojiwa BBC alikiri Mbowe alikua nje ya nchi kwa kuhofia kukamatwa!!

Cha ajabu watu wakamshutumu Lissu na Lema kwenda exile. Hawa wafuasi wa Mbowe hawana hoja kabisa hiki chama Mbowe anakiua hivi hivi tukishuhudia kisa tamaa ya madaraka.
 
Wapenda TANGANYIKA/ wapenda mageuzi wa ndani na nje ya Tanzania wapo timu Lisu.

Lema kasema chadema kikiwa dhaifu/ hatuwezi kua na CCM imara chama Cha upinzani ni kama a watching dog ๐Ÿ•
Kubwekea kila baya/ ovu la serikali iliyopo madaraka

Kwa mwenendo wa mbowe anaendesha chama Kama saccos yake ni kwasababu ya ubinafsi wake ni muda sahihi wa kupumzishwa na WAZALENDO timu Lisu kupewa hiki kijiti Cha mageuzi.
 
Tamaa ya ASALI na ubinafsi uliotopea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ