Godbless Lema: Hisia zangu naona Soka hayuko hai, ameuawa

Godbless Lema: Hisia zangu naona Soka hayuko hai, ameuawa

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Godbless Lema amesema kuwa hana taarifa zozote kuhusu Soka, lakini hisia zake zinaonyesha kuwa Soka hayuko hai. Alisema:

"Sina taarifa zozote lakini hisia zangu zina nambia Deus Soka hayuko hai, ni bahati mbaya sana kuwa na hisia hizi, hakuna Serikali inaweza kumshikilia mtuhumiwa mtoto kama yule karibu miezi 4, kwa hisia zangu mimi naona yule kijana ameshauawa sasa ameuawa na Serikali, ameuawa na nani mimi sijui lakini Soka hakukamatwa na majambazi, kwasababu Soka hakuwa bilionea"

Pia, Soma:

-
Watu Wasiojulikana: Malisa aelezea tukio la kutekwa kwa Deus Soka na vijana wengine wawili wa CHADEMA
- Tundu Lissu: Rais Samia, Kiongozi wetu Deus Soka Ametekwa, Hajulikani Alipo kwa Wiki Mbili
 
Godbless Lema amesema kuwa hana taarifa zozote kuhusu Soka, lakini hisia zake zinaonyesha kuwa Soka hayuko hai. Alisema:

"Sina taarifa zozote lakini hisia zangu zina nambia Deus Soka hayuko hai, ni bahati mbaya sana kuwa na hisia hizi, hakuna Serikali inaweza kumshikilia mtuhumiwa mtoto kama yule karibu miezi 4, kwa hisia zangu mimi naona yule kijana ameshauawa sasa ameuawa na Serikali, ameuawa na nani mimi sijui lakini Soka hakukamatwa na majambazi, kwasababu Soka hakuwa bilionea"

Pia, Soma:

-
Watu Wasiojulikana: Malisa aelezea tukio la kutekwa kwa Deus Soka na vijana wengine wawili wa CHADEMA
- Tundu Lissu: Rais Samia, Kiongozi wetu Deus Soka Ametekwa, Hajulikani Alipo kwa Wiki Mbili
Samia mi muuaji kama Magufuli, na alaaniwe yamkute mabaya yeye na uzao wake wote
 
Samia mi muuaji kama Magufuli, na alaaniwe yamkute mabaya yeye na uzao wake wote
Binafsi Nimeiona upumbavu mwingi kwa macho ya nyama kwa Samia zaidi kuliko kwa mtangulizi, Magufuli labda mizani ilimbalansia kiasi, Lakini Hainifanyi kushindwa kuitikia Ameen
 
Godbless Lema amesema kuwa hana taarifa zozote kuhusu Soka, lakini hisia zake zinaonyesha kuwa Soka hayuko hai. Alisema:

"Sina taarifa zozote lakini hisia zangu zina nambia Deus Soka hayuko hai, ni bahati mbaya sana kuwa na hisia hizi, hakuna Serikali inaweza kumshikilia mtuhumiwa mtoto kama yule karibu miezi 4, kwa hisia zangu mimi naona yule kijana ameshauawa sasa ameuawa na Serikali, ameuawa na nani mimi sijui lakini Soka hakukamatwa na majambazi, kwasababu Soka hakuwa bilionea"

Pia, Soma:

-
Watu Wasiojulikana: Malisa aelezea tukio la kutekwa kwa Deus Soka na vijana wengine wawili wa CHADEMA
- Tundu Lissu: Rais Samia, Kiongozi wetu Deus Soka Ametekwa, Hajulikani Alipo kwa Wiki Mbili
Soka walishamalizana naye ,tusubiri tu Kabendera atoe taarifa.
 
Uzuri Sote Mapua yetu yana angalia Chini
Kufa tutakufa tu Wakati wenu Utafika Pengine Vibaya kuliko Huyo Kijana.
Kuna watu Wamejipa Umungu mtu Kisa Kutawala Da! Mwenyezi mungu Yupo

Kama JIWE aliyekuwa anatembea na Vehicle JAMMER ant-bomb ,signal blocker, juu helicopter ,makirikiri kutoka kwa RWANDA ,PSU convoy ,magunia ya pesa kwenye gari kugawia watu ,lakini mwisho wa siku vilio vya wazazi wa ben vikasikika.
 
Godbless Lema amesema kuwa hana taarifa zozote kuhusu Soka, lakini hisia zake zinaonyesha kuwa Soka hayuko hai. Alisema:

"Sina taarifa zozote lakini hisia zangu zina nambia Deus Soka hayuko hai, ni bahati mbaya sana kuwa na hisia hizi, hakuna Serikali inaweza kumshikilia mtuhumiwa mtoto kama yule karibu miezi 4, kwa hisia zangu mimi naona yule kijana ameshauawa sasa ameuawa na Serikali, ameuawa na nani mimi sijui lakini Soka hakukamatwa na majambazi, kwasababu Soka hakuwa bilionea"

Pia, Soma:

-
Watu Wasiojulikana: Malisa aelezea tukio la kutekwa kwa Deus Soka na vijana wengine wawili wa CHADEMA
- Tundu Lissu: Rais Samia, Kiongozi wetu Deus Soka Ametekwa, Hajulikani Alipo kwa Wiki Mbili

"We were forced to form a Paramilitary Wing of uMkhonto we Sizwe within the ANC because the Government of Whites Minorities of South Africa was terrorising us by using the State Security Forces."

Oliver Reginald Tambo, former President of African National Congress (ANC) from 1967 to 1993.
 
Back
Top Bottom