Naona kimya kimekuwa kikubwa?
Baada ya kumgaraza Mbowe ktk media wakati wa kampeni hivi sasa amekuwa mnyonge sana.
Na hata juzi wakati wa mapokezi ya Lissu alionekana mtu ambae asie na furaha.
Au nafasi ya katibu mwenezi aliokuwa akiipigania imeota mbawa? Tusubiri tuone wapi panapovuja
Baada ya kumgaraza Mbowe ktk media wakati wa kampeni hivi sasa amekuwa mnyonge sana.
Na hata juzi wakati wa mapokezi ya Lissu alionekana mtu ambae asie na furaha.
Au nafasi ya katibu mwenezi aliokuwa akiipigania imeota mbawa? Tusubiri tuone wapi panapovuja