Godbless Lema kakutwa na nini?

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Naona kimya kimekuwa kikubwa?

Baada ya kumgaraza Mbowe ktk media wakati wa kampeni hivi sasa amekuwa mnyonge sana.

Na hata juzi wakati wa mapokezi ya Lissu alionekana mtu ambae asie na furaha.

Au nafasi ya katibu mwenezi aliokuwa akiipigania imeota mbawa? Tusubiri tuone wapi panapovuja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…