Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Duru ndani ya Kambi ya Lissu zinatabanaisha, ndugu Godbless Lema sasa anaenda ku mrithi John Mrema katika nafasi ya Msemaji wa Chama Taifa (CHADEMA).
"...awali ilikuwa awe SG lakini yeye mwenyewe kagoma. Sasa, Chairman amemlazimisha awe Msemaji wa Chama."
Chanzo.
Pia soma
- CHADEMA anzisheni nafasi ya Katibu Mwenezi badala ya kurugenzi ambayo ina mzigo wa majukumu ya utawala badala ya kueneza chama (publicity)
"...awali ilikuwa awe SG lakini yeye mwenyewe kagoma. Sasa, Chairman amemlazimisha awe Msemaji wa Chama."
Chanzo.
Pia soma
- CHADEMA anzisheni nafasi ya Katibu Mwenezi badala ya kurugenzi ambayo ina mzigo wa majukumu ya utawala badala ya kueneza chama (publicity)