Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Mrema alikuwa pia mkurugenzi wa fedha na msemajiDuru ndani ya Kambi ya Lissu zinatabanaisha, ndugu Godbless Lema sasa anaenda ku mrithi John Mrema katika nafasi ya Msemaji wa Chama Taifa (CHADEMA).
"...awali ilikuwa awe SG lakini yeye mwenyewe kagoma. Sasa, Chairman amemlazimisha awe Msemaji wa Chama."
Chanzo.
Duru ndani ya Kambi ya Lissu zinatabanaisha, ndugu Godbless Lema sasa anaenda ku mrithi John Mrema katika nafasi ya Msemaji wa Chama Taifa (CHADEMA).
"...awali ilikuwa awe SG lakini yeye mwenyewe kagoma. Sasa, Chairman amemlazimisha awe Msemaji wa Chama."
Chanzo.
Chadema inakoelekea,Kuna siku watamuomba mbowe agomber Tena Uwenyekiti wa chama hicho
Mjifunze kukubali mabadiriko.Chadema inakoelekea,Kuna siku watamuomba mbowe agombee Tena Uwenyekiti wa chama hicho
Ndivyo itakavyokuwaChadema inakoelekea,Kuna siku watamuomba mbowe agombee Tena Uwenyekiti wa chama hicho
Sio muda mrefu uchaguzi mkuu ukiisha tu matokeo yakitoka Chadema watampiga mateke nje LisuChadema inakoelekea,Kuna siku watamuomba mbowe agombee Tena Uwenyekiti wa chama hicho
Sababu ya kugoma ni ipi mkuu?Duru ndani ya Kambi ya Lissu zinatabanaisha, ndugu Godbless Lema sasa anaenda ku mrithi John Mrema katika nafasi ya Msemaji wa Chama Taifa (CHADEMA).
"...awali ilikuwa awe SG lakini yeye mwenyewe kagoma. Sasa, Chairman amemlazimisha awe Msemaji wa Chama."
Chanzo.
Napo anafaa sanaDuru ndani ya Kambi ya Lissu zinatabanaisha, ndugu Godbless Lema sasa anaenda ku mrithi John Mrema katika nafasi ya Msemaji wa Chama Taifa (CHADEMA).
"...awali ilikuwa awe SG lakini yeye mwenyewe kagoma. Sasa, Chairman amemlazimisha awe Msemaji wa Chama."
Chanzo.
Pia soma
- CHADEMA anzisheni nafasi ya Katibu Mwenezi badala ya kurugenzi ambayo ina mzigo wa majukumu ya utawala badala ya kueneza chama (publicity)
Huwezi kuwa na chama kikubwa kama chadema ukakosa pesa ,acheni kamdomo bado hamjanyookaSio muda mrefu uchaguzi mkuu ukiisha tu matokeo yakitoka Chadema watampiga mateke nje Lisu
Lisu mtihani wake wa kwanza ni kufanikisha uchaguzi mkuu kwa Chadema kuanzia maandalizi teuzi za wagombea,uwezeshaji kifedha uchaguz na kampeni i na logistics zote zihusuzo uchaguzi mkuu
Lisu uwezo hana wa vyote hivyo ukilinganisha na Mbowe
Mbowe akikuwa anamudu vyote hivyo hasa kwenye uchaguzi mkuu
Mmeanza sasa!Mrema alikuwa pia mkurugenzi wa fedha na msemaji
Naona Lema analenga eneo hilo hasa la fedha
Toa mchaga panda mchaga fuko la pesa la Chadema
Ukatibu mkuu hauna pesa kama mkurugenzi wa fedha
Lema anawinda fuko la fedha
lema anatakisa kumrithi MNYIKA, hata mnyika haaminiki. fukuzia mbali kule, wakae pembeni waone namna uongozo wa chama cha upinzani unavyofanywa.Duru ndani ya Kambi ya Lissu zinatabanaisha, ndugu Godbless Lema sasa anaenda ku mrithi John Mrema katika nafasi ya Msemaji wa Chama Taifa (CHADEMA).
"...awali ilikuwa awe SG lakini yeye mwenyewe kagoma. Sasa, Chairman amemlazimisha awe Msemaji wa Chama."
Chanzo.
Pia soma
- CHADEMA anzisheni nafasi ya Katibu Mwenezi badala ya kurugenzi ambayo ina mzigo wa majukumu ya utawala badala ya kueneza chama (publicity)
Sasa hivi hatutaki kamdomo, mwacheni mwenyekiti mpya apange safu yake ya uongozi sio mda mtaona sayansi ya siasa inavyochezwaNdivyo itakavyokuwa
Kamdomo kamewaponza na bdoChadema inakoelekea,Kuna siku watamuomba mbowe agombee Tena Uwenyekiti wa chama hicho
Una akili sanaa bro, hauna utofauti na Mama SamiaUsiwaamshe waliolala waache waendelee hivyo hivyo ,sisi tutaendelea kuwapa michango ya ONLINE watakapohitaji na huku tukiendelea kuwapa SPANA SISIEMU.
Dua la kuku halimpati mwewe .Usiwaamshe waliolala waache waendelee hivyo hivyo ,sisi tutaendelea kuwapa michango ya ONLINE watakapohitaji na huku tukiendelea kuwapa SPANA SISIEMU.