Godbless Lema: Kwenye vyama vya upinzani kuna watu wabaya kuliko kina Makonda na Chalamila. Hawana tu madaraka!

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Godbless Lema anatema cheche muda huu kuhusu mchakato unaoendelea kwa sasa wa uchaguzi.

Lema anasema kuwa hata upinzani kuna kina Makonda na kina Chalamila sema tu bado hawajapata madaraka.

Mambo yanazdi kuchemka


Your browser is not able to display this video.
 
Akomweeee

Yeye ni mbaya kupitiliza

Tena hapo Makonda anamuonea wivu kwa nyota yake eeee kaliiiiiii

Na bado.. πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Wivu wivuuuuuu

Bila kuwa taja haswa Makonda anajua hatoongelewa kwa kuchemsha juzi na tai yake kavaa.. Bado hakuongelewa


Nyota nyota nyotaaaaaa eeeee
 
🀣🀣🀣
Aisee naona kuna kitu kwako hakiko sawa.
 
Wakuu,

Godbless Lema anatema cheche muda huu kuhusu mchakato unaoendelea kwa sasa wa uchaguzi.

Lema anasema kuwa hata upinzani kuna kina Makonda na kina Chalamila sema tu bado hawajapata madaraka.

Mambo yanazdi kuchemka


View attachment 3204339
Wabaya ni wengi kuliko wema dunia nzima, ndio maana duniani sio mahali salama pa kuishi wapendanao/ watenda haki.
 
Huyo muuaji ana nyota ya shetani. Nyota ya kuteka na kuua watu!!
 
Wakuu,

Godbless Lema anatema cheche muda huu kuhusu mchakato unaoendelea kwa sasa wa uchaguzi.

Lema anasema kuwa hata upinzani kuna kina Makonda na kina Chalamila sema tu bado hawajapata madaraka.

Mambo yanazdi kuchemka


View attachment 3204339
Kwa hiyo watu wabaya SI unit ni hao jamaa waliotajwa?
 
TUNASUBIRI BOMU KUBWA KARIBU LITALIPUKA WALIPO WENJE NA BEN SAANANE NI SUALA LA MUDA TU WATAMTAJA
 
Hakuna mwanasiasa mzuri, mchawi madaraka tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…