Pre GE2025 Godbless Lema: Tundu Lisu alishaahidi kutokuchukua fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA, CCM acheni kujitekenya

Pre GE2025 Godbless Lema: Tundu Lisu alishaahidi kutokuchukua fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA, CCM acheni kujitekenya

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Mwenyekiti wa Chadema kanda ya Kaskazini amewataka CCM kuachana na kicheko cha kujitekenya badala yake wajikite kwenye hoja.

Amesema propaganda za CCM kuhusu Ugomvi wa Lisu na Mbowe zipuuzwe na kuwataka kufahamu kwamba hii siyo Duniani ya kufundisha wakubwa kugombana.

Lema amesema suala la Lisu kugombea uwenyekiti au kutokugombea lilishapatiwa muafaka na wawili hao so hakuna haja yakuendelea kuliona kama agenda.

Amempongeza Lisu kwa kupiga vita rushwa na kuendeleza mapambano yakuwakataa vibaraka wa CCM wanaonunuliwa kwa fedha .
 
Mwenyekiti wa Chadema kanda ya Kaskazini amewataka CCM kuachana na kicheko cha kujitekenya badala yake wajikite kwenye hoja.

Amesema propaganda za CCM kuhusu Ugomvi wa Lisu na Mbowe zipuuzwe na kuwataka kufahamu kwamba hii siyo Duniani ya kufundisha wakubwa kugombana.

Lema amesema suala la Lisu kugombea uwenyekiti au kutokugombea lilishapatiwa muafaka na wawili hao so hakuna haja yakuendelea kuliona kama agenda.

Amempongeza Lisu kwa kupiga vita rushwa na kuendeleza mapambano yakuwakataa vibaraka wa CCM wanaonunuliwa kwa fedha .
Kwani Mbowe naye anagombea tena?
 
Ningependa kuona Tundu Lissu anapewa dhamana ya kuongoza hicho chama kwa hoja tatu.

Umri- Lissu yupo katika umri sahihi wa kuelekea uzee hivyo akipewa hiki chama at a let a mawazo mapya yenye busara na nguvu nchini kuliko tukisubiri akiwa na 60+ hatutomfaidi

Kuthubutu- Lissu Ana uwezo wa kuthubutu kumzidi mh Mbowe ,hii itapelekea mabadiliko nchini ya kiutawala hadi kiutendaji.

Ufanisi- Lissu ana uwezo mkubwa wa akili na maarifa kuzidi viongozi wengi wa Ccm na Chadema.

Mh ,mbowe is the right person to be but Lissu is the right person to be and the right popular choice.
 
Hao vibaraka wa CCM walioko Chadema ni kina nani? Mbona mbuni wanachimbia vichwa kwenye mchanga?Watajeni?Ama sivyo itakuwa ni ushahidi kwamba mnagombania fito na mnakaza shingo kukubali.
 
Back
Top Bottom