Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Andika na kuwatukana sana ila Mungu huwa ni mwaminifu upandacho ndicho utakikuta kwenye kihengeMtu aliyekimbia deni la milioni 400 Arusha na kwenda kulelewa ulaya hana hadhi ya kuwashauri watanzania.
Sahihi kabisa na kwa Lema huwa hawatomboiAndika na kuwatukana sana ila Mungu huwa ni mwaminifu upandacho ndicho utakikuta kwenye kihenge
nabii anaweza kuwa mke wa mtu?kaolewa huko halafu anakuja kutoa ushauri kwa wanaume? nafikiri aliandika hiyo twitter akiwa anaosha vyombo au kaukalia kabisaAnaitwa Nabii Lema mpaka Ndugai anamuogopa
Chuki humchoma anayeihifadhi - Fid Qnabii anaweza kuwa mke wa mtu?kaolewa huko halafu anakuja kutoa ushauri kwa wanaume? nafikiri aliandika hiyo twitter akiwa anaosha vyombo au kaukalia kabisa
Mjinga wewe kila nje wewe unafikiri ni ulaya?Kwani Canada imekuwa ulayaMtu aliyekimbia deni la milioni 400 Arusha na kwenda kulelewa ulaya hana hadhi ya kuwashauri watanzania.
Anafua nguo za mme wake
Mmewekeza kwenye propaganda,uzushi na uongo na ndio maana nchi inawashinda.Mtu aliyekimbia deni la milioni 400 Arusha na kwenda kulelewa ulaya hana hadhi ya kuwashauri watanzania.
haiwezekani mwanaume aliyekamilika akaolewa na mwanaume mwenziye kwahiyo yeye anapigwa na mkewe anapigwa na mzungu mwingine aibuChuki humchoma anayeihifadhi - Fid Q
Tatizo lake huyo Elitwage Ni mpuuuza Sana. Anandikaga mambo utadhani mtoto mdogo. Ana siasa za kizamani Sana.Andika na kuwatukana sana ila Mungu huwa ni mwaminifu upandacho ndicho utakikuta kwenye kihenge
One of the big problems of this country is that, the lntelligent people have only forums to express their views and ideas,whereas the less intelligent, have both, forums as well as power and mandate to implement their ideas even if those ideas are sometimes useless/meaninglessHapa Lema ana point ya msingi, wajumuishe mpango was Wafanyakazi wote, maana hali zao baada ya kustaafu zinakuwa mbaya sana ukizingatia asili ya kazi zao kuwa Ni za kuhama Hama bila makazi ya kudumu kipindi Chao chote cha kazi.
Kwa nini hataki kurudi Tanzania, si arudi tu na mme wake aje amtambulisheMmewekeza kwenye propaganda,uzushi na uongo na ndio maana nchi inawashinda.
Mbona we bwana unaakili za kitoto Sana. Unaandika vitu Kama ujasoma, juzi umeanza kumtetea sabaya wakati unajua kesi yake ipo mahamani.Anafua nguo za mme wake