Godbless Lema: Wenje ni muongo muongo, anayebebwa na watu kama kina Abdul. Hastahili kuwa mwanachama wa CHADEMA

Godbless Lema: Wenje ni muongo muongo, anayebebwa na watu kama kina Abdul. Hastahili kuwa mwanachama wa CHADEMA

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kaskazini na ambaye alitajwa kuratibu vuguvugu la Join the Chain, Godbless Lema akizungumza na wanahabari siku ya Ijumaa Januari 17, 2025 mkoani Dar es Salaam amezungumza yafuatayo:

"Fikiria anakuja mtu anayetaka kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA bara, Ezekia Wenje huyo maana yake ni kwamba Mwenyekiti akiwa hayupo huyo ndiye anakuwa Mwenyekiti wa chama taifa.

Taswira ya mtu muongomuongo hivi, anayebebwabebwa na watu wengine kama kina Abdul..kimsingi ndiyo maana nilisema hastahili kuwa mwanachama wa chama hiki kama chama hiki kinaamini kwenye maadili na miiko.

"Kwasababu suala la msingi katika nchi siyo chama cha upinzani kushika madaraka, kinashika madaraka na watu wa thamani ya aina gani, kwamba hawa watu wakishika madaraka wanaweza kugeuza fikra za nchi? Kwasababu hata mkishika madaraka na chama cha upinzani, kama fikra zao hazijafanyiwa mageuzi matokeo mtakayopata yanaweza yakawa mabaya kuliko matokeo mnayopata sasa kutoka chama tawala"


Lema preeee.png
 
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kaskazini na ambaye alitajwa kuratibu vuguvugu la Join the Chain, Godbless Lema akizungumza na wanahabari siku ya Ijumaa Januari 17, 2025 mkoani Dar es Salaam amezungumza yafuatayo:

"Fikiria anakuja mtu anayetaka kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA bara, Ezekia Wenje huyo maana yake ni kwamba Mwenyekiti akiwa hayupo huyo ndiye anakuwa Mwenyekiti wa chama taifa.

Taswira ya mtu muongomuongo hivi, anayebebwabebwa na watu wengine kama kina Abdul..kimsingi ndiyo maana nilisema hastahili kuwa mwanachama wa chama hiki kama chama hiki kinaamini kwenye maadili na miiko.

"Kwasababu suala la msingi katika nchi siyo chama cha upinzani kushika madaraka, kinashika madaraka na watu wa thamani ya aina gani, kwamba hawa watu wakishika madaraka wanaweza kugeuza fikra za nchi? Kwasababu hata mkishika madaraka na chama cha upinzani, kama fikra zao hazijafanyiwa mageuzi matokeo mtakayopata yanaweza yakawa mabaya kuliko matokeo mnayopata sasa kutoka chama tawala"


Wenje anakula za chembe hadi basi
 
Silaha inayotumiwa na ccm kuua upinzani safari hii ni zaidi ya bomu la nyukilia.. ni funga KAZI...sio Ile ya magufuli ya kununua wapinzani....safari hii ni CONFUSE THEM THEN RULE THEM watakuja kustuka ikiwa too late!
 
Silaha inayotumiwa na ccm kuua upinzani safari hii ni zaidi ya bomu la nyukilia.. ni funga KAZI...sio Ile ya magufuli ya kununua wapinzani....safari hii ni CONFUSE THEM THEN RULE THEM watakuja kustuka ikiwa too late!
Hii pia ilitumiwa na wakoloni divide and rule.
 
Pia Amesema Wenje aliingia kwenye press conference amelewa anahitaji maombi.. kwa maoni yangu binafsi ni aibu kwa mbunge mstaafu kutumia visungura kabla ya kuongea na vyombo vya habari🐼
 
Silaha inayotumiwa na ccm kuua upinzani safari hii ni zaidi ya bomu la nyukilia.. ni funga KAZI...sio Ile ya magufuli ya kununua wapinzani....safari hii ni CONFUSE THEM THEN RULE THEM watakuja kustuka ikiwa too late!
Wishful thinking, baada ya uchaguzi chuya na mchele vitajitenga. Dhamira ya CCM ni Mbowe ashinde maana sasa hivi anaimba kumsifia mama Samia, Lissu hawawezi kumdhibiti.

Tumbo joto kwa CCM kudeal na Lissu there's no confusion whatsoever, if there is confusion then it's mama Abdul who's confused.
 
Silaha inayotumiwa na ccm kuua upinzani safari hii ni zaidi ya bomu la nyukilia.. ni funga KAZI...sio Ile ya magufuli ya kununua wapinzani....safari hii ni CONFUSE THEM THEN RULE THEM watakuja kustuka ikiwa too la
Sasa hivi CCM wanacheka na kufurahi kwelikweli. Wanajua huenda wakawa Wameshamaliza kazi. Waliokuwa wanawatia angalau tumbo joto, ndio hao wanavuana nguo huko kwenye vyombo vya habari.
 
Back
Top Bottom