Godfrey Monyo wa ITV

Godfrey Monyo wa ITV

Jaylee

Member
Joined
Apr 15, 2009
Posts
66
Reaction score
96
Huyu mtangazaji ni mzuri sana lakini dah.. hii sauti yake ya kukwaruza ni shida kwa kweli. Huwa najiuliza kama kuna kitu anatumia kinachosababisha sauti itoke namna ile au ndiyo maumbile yake?

1645697323693.png
 
Simzungumzii Monyo ila Kuna baadhi ya watangazaji nimeshawahi kukaa nao,wanadai ukiwa unatangaza kuna wakati hata sauti haitoki mpaka wenyewe unajishangaa, ila ukitoka pale unaongea kama kawaida.
 
Back
Top Bottom