Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angekua CNN wangesha mfanyia upasuaji wa koo kurekebisha...Huyu mtangazaji ni mzuri sana lakini dah.. hii sauti yake ya kukwaruza ni shida kwa kweli. Huwa najiuliza kama kuna kitu anatumia kinachosababisha sauti itoke namna ile au ndiyo maumbile yake?
🤣🤣🤣Mimiiiiiiiiiii ni Godfrey Monyo wa ITV.Angekua CNN wangesha mfanyia upasuaji wa koo kurekebisha...
Castle Lite za kutosha pale MwengeGambe
YaahCastle Lite za kutosha pale Mwenge
Kumbe mkuu unamfahamu vizuri,pale Mwenge ndio chimbo lake kuuCastle Lite za kutosha pale Mwenge
😀😀 Hizi fake ID's zina mengi possibly nakuaga naye, huwezi jua!Kumbe mkuu unamfahamu vizuri,pale Mwenge ndio chimbo lake kuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Angekua CNN wangesha mfanyia upasuaji wa koo kurekebisha...
JaniHuyu mtangazaji ni mzuri sana lakini dah.. hii sauti yake ya kukwaruza ni shida kwa kweli. Huwa najiuliza kama kuna kitu anatumia kinachosababisha sauti itoke namna ile au ndiyo maumbile yake?
Mzee wa look in to my eyesDon't matter!
Mbona Bryan Adams anasauti ya kukwaruza lakini ana hits songs kali za mapenzi mpaka unatamani kulia kwa hisia!?
[emoji16]Gambe
Huyu sasa ndo huwa anajikakamua [emoji16][emoji16] sijui kwann alichagua vileHebu fanya utuletee na Bukulu Elias, wa Bujumburaaaaaa.