Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Frij ishachukuliwaKula 500k hiyo friji mkuu!
Kama upo serious lipia vyote 70kmeza chukua 20
feni chukua 25
mtungi chukua 15
Hiyo hapana mkuu fanya 100kMeza na godoro 80k ipo.
Leta 7kHiyo stendi ya vyombo tafadhali!
Bei nzuri sana,ningekuwa dar,ningechukua kwa hela hiiHiyo hapana mkuu fanya 100k
Ok poaBei nzuri sana,ningekuwa dar,ningechukua kwa hela hii
Kwa nini unauza baada ya kuitumia week mbili. Tatizo nini.Friji nauza ( mpya ina wiki mbili) nakupa na warranty card na friji guard
Location : Dar es salaam Mbagala mission
Bei : 300k Tsh ( Maongezi yapo)
[emoji338]0713857461 ( call or WhatsApp)View attachment 1626080
Nahama mkuu, nimepata uhamishoKwa nini unauza baada ya kuitumia week mbili. Tatizo nini.
200,000/= unachukua? Maana kuna gharama za usafiri pia mteja ataingia, kuibeba kwenye kirikuuNahama mkuu, nimepata uhamisho
280,000/= kirikuu elf 5 tu mkuu200,000/= unachukua? Maana kuna gharama za usafiri pia mteja anatakiwa kuingia kwenye kirikuu
Kirikuu elfu 5?? inategemea unaenda wapi. Kutoka Gongolamboto mpaka Ubungo sio chini ya 40,000280,000/= kirikuu elf 5 tu mkuu