project planner
JF-Expert Member
- Jul 8, 2019
- 1,170
- 1,545
Hatojuta.Dodoma
Hiyo bajeti nunua Super banco Nchi 12 halibonyei utapata kuanzia 300k na Kama upo vzr nenda keko kiwandani Kama upo DSMWakuu naomba msaada natafuta godoro zuri 5*6 inch 10 ambalo litadumu miaka mingi nishachoka kununua godoro ya inch 6 Kila baada ya mwaka nanunua jingine naomba msaada kampuni nzuri godoro la kudumu angalau Miaka 5 bajeti yangu ni 300k mpaka 350k
Mwaka wa 5 sasa lipo vilevile....ngoja nijifunze kumwaga katerero aisee...liishe upesi😏Hatojuta.
Afu wewe..!!!Mwaka wa 5 sasa lipo vilevile....ngoja nijifunze kumwaga katerero aisee...liishe upesi😏
Mkuu upo wapi?Wakuu naomba msaada natafuta godoro zuri 5*6 inch 10 ambalo litadumu miaka mingi nishachoka kununua godoro ya inch 6 Kila baada ya mwaka nanunua jingine naomba msaada kampuni nzuri godoro la kudumu angalau Miaka 5 bajeti yangu ni 300k mpaka 350k
Hio bajeti ni ya inch12 sio 10Wakuu naomba msaada natafuta godoro zuri 5*6 inch 10 ambalo litadumu miaka mingi nishachoka kununua godoro ya inch 6 Kila baada ya mwaka nanunua jingine naomba msaada kampuni nzuri godoro la kudumu angalau Miaka 5 bajeti yangu ni 300k mpaka 350k
Arusha godoro gani na inch ngapi utanipa kwa hiyo beiHio bajeti ni ya inch12 sio 10
Upo wapi. Mkuu?
Basi nipo dar mkuu.Arusha godoro gani na inch ngapi utanipa kwa hiyo bei
Kwani transporter si anakula 20k tu. Embu fanyeni hiyo biashara jamaa alale vizuriBasi nipo dar mkuu.
Ila kwahyo bei 5+6* inch 12
🤣🤣Mwaka wa 5 sasa lipo vilevile....ngoja nijifunze kumwaga katerero aisee...liishe upesi😏
Kampuni gani mkuu na hiyo 5*6 inch 12 utanipa kwa shingapi tufanye biashara unitumie Kwenye gariBasi nipo dar mkuu.
Ila kwahyo bei 5+6* inch 12
Hivi hiyo katerero wanaanika godoro kila siku? Au huwa wanaweka nylon lisilowe?Mwaka wa 5 sasa lipo vilevile....ngoja nijifunze kumwaga katerero aisee...liishe upesi
🤭Mwaka wa 5 sasa lipo vilevile....ngoja nijifunze kumwaga katerero aisee...liishe upesi😏