pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Jubilee ndo waliwaua waliokuwa wanawafanyia kampeni. Congratulations for your accurate objective reasoning. Your mind is really growing in a fast rate.Hata wenyewe wanakaliwa na hawaoni!!!
Katiba is very clear!!
. ..still the Lake NAKURU chopper crash victims have not been found they were campaigning for Jubilee.....
Atleast kisumu county is settling all the bills for all injured and killed by police between 8th-2
Wacha kiume sasa ndo umesema nini? Umesahau nyumba ya Raila aliyojenga kwa gharama ya 2bn Kshs? Rao alitafuna hela za mradi wa Kazi kwa Vijana akiwa waziri mkuu. Bila aibu. Haikuumi kama kijana kwamba mtakatifu wenu ni kibwengo flani tu? Au wewe ni mhenga kama RAO?Yeah wacha kiume....
Pesa haiibwi na Watu wa NASA .....
Hauwezi niambia mshahara ya Ruto ndio imenunua hyo properrt yote !!!
You dont have to quote me mthamaki keep your opinions to your damn self idiot!!!Jubilee ndo waliwaua waliokuwa wanawafanyia kampeni. Congratulations for your accurate objective reasoning. Your mind is really growing in a fast rate.
I dont really whose saviour I am but thanks for calling me saviour, 'muthamaki'. I like it when you call people idiot. Hapo huwa ndo umieshiwa na hoja zenu danganya toto za NASA/NRM. Bado hamjaingia vichakani?You dont have to quote me mthamaki keep your opinions to your damn self idiot!!!
Leave me alone!!
FOH!
Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
Tuliza jombaa hata spirit haijapakwa ndo sindano ifate na umeanza kulialia kama mtoto wa mbwa? Hehe nenda kavae hizo uniform za walinda lango za NRM Ngong' forest hamna simba ni nyati tu acha kuweweseka.
Naona sindano imekuingia taratibu. Tano Tena.
Sindano gani??Naona sindano imekuingia taratibu. Tano Tena.
Mnaongea nkama Central imewacha Tz na leaps and BoundsApana tambua Nyerere, what did He do for Africa and Tanzania in particular? He is the reason why Tz is weak economically due to His weak leadership.
Hahahaha... Next elections mpaka 2022 kati ya Baba na DP William Ruto wembe ni ule ule but for now, slogan ni Tano Tena.Mnaongea nkama Central imewacha Tz na leaps and Bounds
Ilhali hizi ndio majority of you people live like
Getting drunk 24/7
Mna move nairobi east kuanza biz ya matatu ama uthegi
Ama Middle east Alafu mnakuwa stranded huko
Ama kuuza maziwa !!
Smh!!.....
Muelimishe huyo taahira. Eti uchaguzi in 90 days, 90days kutoka lini? Labda kutoka Raila ashindwe. Uhuru tano tena, 2022 wembe ni ule ule!Hahahaha... Next elections mpaka 2022 kati ya Baba na DP William Ruto wembe ni ule ule but for now, slogan ni Tano Tena.
Africa na dunia nzima inamtambua na kumuenzi nyerere, ndiyo sababu pale makao makuu ya AU Ethiopia kuna jengo kubwa limepewa jina la Julius Nyerere, ni viongozi watatu tu Africa nzima ambao wamepewa heshima hiyo, wengine ni Mandela na Kwame Nkuruma, wewe unafikiria uchumi tu ndiyo muhimu haujali utu na freedom, au ndiyo sababu KDF huko Somalia wameamua kushirikiana na Alshabaab kama Kenya ilivyokuwa inashirikiana na makaburu kule Afrika Kusini wakati nchi zingine zote zonapigana nao zikiongozwa na Tanzania?Apana tambua Nyerere, what did He do for Africa and Tanzania in particular? He is the reason why Tz is weak economically due to His weak leadership.
Mimi binafsi sitambui yeye na sielewi alshabab na kdf zinaingilia wapi.Africa na dunia nzima inamtambua na kumuenzi nyerere, ndiyo sababu pale makao makuu ya AU Ethiopia kuna jengo kubwa limepewa jina la Julius Nyerere, ni viongozi watatu tu Africa nzima ambao wamepewa heshima hiyo, wengine ni Mandela na Kwame Nkuruma, wewe unafikiria uchumi tu ndiyo muhimu haujali utu na freedom, au ndiyo sababu KDF huko Somalia wameamua kushirikiana na Alshabaab kama Kenya ilivyokuwa inashirikiana na makaburu kule Afrika Kusini wakati nchi zingine zote zonapigana nao zikiongozwa na Tanzania?
KDF Are Working With Al Shabaab - UN
Wanaomtambua ni watu wenye akili timamu, kichaa kama wewe hupaswi kumtabua.Mimi binafsi sitambui yeye na sielewi alshabab na kdf zinaingilia wapi.
Siwezi mtambua hata na dawa.Wanaomtambua ni watu wenye akili timamu, kichaa kama wewe hupaswi kumtabua.
TrueBut Samuel si wakikuyu wote husupport hawa wajamaa wawili....some of us tumeherevuka sana hatutambui empty words
Labda wazeee wamezeeka na vijana wajasoma ndio ma die hard wa uhuruto(most)