He he.....kweli dunia ina viroja......kwa hiyo alikuwa katulia akiangalia mkewe akiliwa.......kweli dhiki haina adabu......
If real God exists, all Women diserve double punishment to Hell. They have been the major source of the Socio-psychological torture of the mankind on the Earth now and then.
"Oooh God, forgive me for having this perception towards Women."
Nawe na vimbwanga vyako! Nimecheka sana na comment zako, lakini kama mpenzi wangu ndio anapenda nifanye nini nami nampenda na nataka ainjoy?
Umejuaje? " Ukinifuatafuata husband naenda Omba talaka. It will be over, I swear!"
hii mbona kawaida.
wangu yupo sitting rum na laptop yake, naona yupo hapa hapa kwenye hii thread! halafu nakatwa jicho la hasira kila nikipita mbele yake! mbona tutaonekana kama nyanya mbichi?? jamani siyo wote tupo hivyo! NAJUA ATASOMA HAPA, Maana yupo kwenye huu uzi!
Lachicaguapa, ona mambo yenu ya dot.com
Happy lovers, haki ya nani? Wanaume watatuchukiaje?
Happy lovers, haki ya nani? Wanaume watatuchukiaje?