Goli 4 alizofungwa Aishi Manula zisiwafanye msimpe Maua yake kwa kiwango alichokionesha kwenye Michuano ya AFCON Ivory Coast

Goli 4 alizofungwa Aishi Manula zisiwafanye msimpe Maua yake kwa kiwango alichokionesha kwenye Michuano ya AFCON Ivory Coast

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Ina maana hamjaona alichokifanya Aishi Manula kwenye Michuano ya AFCON??

Kwani goli tano alizofungwa na Mtani ni Mara ya kwanza kuookea kichapo Kama hicho??

NALIA NGWENA nikiulizwa ni wachezaji gani walifanya vizuri katika michuano ya AFCON kutoka Taifa stars basi jina la AISHI MANULA sitoliacha lazima nitaliweka kutokana na kiwango Bora alichokionesha hakika mwamba "he is the best"

Manula Sasa kiwango chake kinarejea na kupitia michuano hii Ya AFCON amini usiamini confidence yake itaongezeka mno.

Goal keeper Ayub ajipange maana nae anasua sua sana akiwa langoni na Hana ubora Kama Aishi Manula na hajaufikia kwa muda aliokaa Golini.

Maoni Yangu: Goli tano za mtani alizofungwa Manula zisitufanye tusimpe Manula Maua yake Kwa kiwango alichokionesha AFCON.
1706197448229.jpg
 
Manula kafanya vizuri japokua lile goli la kwanza alilofungwa na Morocco ilikua grave mistake... Ziyech alimlenga kabisa... Jamaa akawa kashahama sijui alikua anafuta Nini Kule kushoto ikabidi aruke tena kufanya punching save wakamtungua...
 
Ina maana hamjaona alichokifanya Aishi Manula kwenye Michuano ya AFCON??

Kwani goli tano alizofungwa na Mtani ni Mara ya kwanza kuookea kichapo Kama hicho??

NALIA NGWENA nikiulizwa ni wachezaji gani walifanya vizuri katika michuano ya AFCON kutoka Taifa stars basi jina la AISHI MANULA sitoliacha lazima nitaliweka kutokana na kiwango Bora alichokionesha hakika mwamba "he is the best"

Manula Sasa kiwango chake kinarejea na kupitia michuano hii Ya AFCON amini usiamini confidence yake itaongezeka mno.

Goal keeper Ayub ajipange maana nae anasua sua sana akiwa langoni na Hana ubora Kama Aishi Manula na hajaufikia kwa muda aliokaa Golini.

Maoni Yangu: Goli tano za mtani alizofungwa Manula zisitufanye tusimpe Manula Maua yake Kwa kiwango alichokionesha AFCON.View attachment 2882623
4 au 5...
 
Manula kafanya kazi ya kawaida mno wala hahitaji spika hizo unazompa,kdg kipa wa Namibia
 
Manula kafanya vizuri japokua lile goli la kwanza alilofungwa na Morocco ilikua grave mistake... Ziyech alimlenga kabisa... Jamaa akawa kashahama sijui alikua anafuta Nini Kule kushoto ikabidi aruke tena kufanya punching save wakamtungua...
Mpira ulikatika, kama ulichunguza vizuri
 
Ina maana hamjaona alichokifanya Aishi Manula kwenye Michuano ya AFCON??

Kwani goli tano alizofungwa na Mtani ni Mara ya kwanza kuookea kichapo Kama hicho??

NALIA NGWENA nikiulizwa ni wachezaji gani walifanya vizuri katika michuano ya AFCON kutoka Taifa stars basi jina la AISHI MANULA sitoliacha lazima nitaliweka kutokana na kiwango Bora alichokionesha hakika mwamba "he is the best"

Manula Sasa kiwango chake kinarejea na kupitia michuano hii Ya AFCON amini usiamini confidence yake itaongezeka mno.

Goal keeper Ayub ajipange maana nae anasua sua sana akiwa langoni na Hana ubora Kama Aishi Manula na hajaufikia kwa muda aliokaa Golini.

Maoni Yangu: Goli tano za mtani alizofungwa Manula zisitufanye tusimpe Manula Maua yake Kwa kiwango alichokionesha AFCON.View attachment 2882623
Kwa kifupi Manula kajitahidi sana ukizingatia muda mrefu hakucheza kutokana na kuumia

Hakustahili kuitwa timu ya Taifa, walitakiwa waitwe makipa waliokuwa kwenye michezo mpaka kabla ya haya mashindano waliofanya vizuri na sio Manula

Kwa kifupi ni uhuni uliofanywa na yule aliyekuwa kocha akishirikiana na genge la wahuni pale tff wlaiojificha kwenye kuongoza soka kuita wacheza wengi magarasa.
 
Kwa kifupi Manula kajitahidi sana ukizingatia muda mrefu hakucheza kutokana na kuumia

Hakustahili kuitwa timu ya Taifa, walitakiwa waitwe makipa waliokuwa kwenye michezo mpaka kabla ya haya mashindano waliofanya vizuri na sio Manula

Kwa kifupi ni uhuni uliofanywa na yule aliyekuwa kocha akishirikiana na genge la wahuni pale tff wlaiojificha kwenye kuongoza soka kuita wacheza wengi magarasa.
KWELI KABISA MKUU
 
Ina maana hamjaona alichokifanya Aishi Manula kwenye Michuano ya AFCON??

Kwani goli tano alizofungwa na Mtani ni Mara ya kwanza kuookea kichapo Kama hicho??

NALIA NGWENA nikiulizwa ni wachezaji gani walifanya vizuri katika michuano ya AFCON kutoka Taifa stars basi jina la AISHI MANULA sitoliacha lazima nitaliweka kutokana na kiwango Bora alichokionesha hakika mwamba "he is the best"

Manula Sasa kiwango chake kinarejea na kupitia michuano hii Ya AFCON amini usiamini confidence yake itaongezeka mno.

Goal keeper Ayub ajipange maana nae anasua sua sana akiwa langoni na Hana ubora Kama Aishi Manula na hajaufikia kwa muda aliokaa Golini.

Maoni Yangu: Goli tano za mtani alizofungwa Manula zisitufanye tusimpe Manula Maua yake Kwa kiwango alichokionesha AFCON.View attachment 2882623
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Kufungwa kwa Manula kulitokana na beki mbovu walioruhusi mipira mingi kupigwa
 
Back
Top Bottom