Goli la Geita gold ni haramu

Goli la Geita gold ni haramu

mjogoro

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2011
Posts
882
Reaction score
652
Build-up ya goli la Geita gold ilianzia pale Ntibazonkiza aliposukumwa na kunyang'anywa mpira. Pamoja na kelele za mashabiki, refa alipeta na kilichotokea kinafahamika.

Goli HARAMU. Hongera kwa wachezaji wa Yanga kwa kuonesha ukomavu na kuamua kupigana kufa kupona kulinda heshima ya Wananchi.
 
Ilikuw Clear Foul Lakini Macho Kuvimba Wanajifanya Hawaoni Na Haikuishia Hapo Tu Mpaka Kwenye Ile Penalty Wanajifanya Hawaoni Pia Kama Yusuph Kadikilo Alinawa Kweli Wanasema Eti Refa Katubeba Tumemuhonga [emoji23]
Huyo Yusuf kadikilo ndio yupo?
Sio kila tendo la mchezaji kwenda chini ni faulu
 
Elezea shida ya penati ni nini. Kama nilivyofafanua uharamu wa goli la Geita gold
Tuwe wa kweli,haiwezi kuwa penat kwasababu mpira ulitoka mguuni kwa mpigaji mwenyewe

FB_IMG_16496502142625748.jpg
 
Tuwe wa kweli,haiwezi kuwa penat kwasababu mpira ulitoka mguuni kwa mpigaji mwenyewe

View attachment 2183380
Kwaio Wewe Mfano Ukiwa Kama Mchezaji Upo Na Mpira Kwenye Eneo La Penalty La Timu Yako Unaweza Ukabetua Mpira Kama Ukitaka Kuushika Unaweza Ukaushika Kidogo Kisha Ukapiga Mbele Na Ni Fresh Tu
 
Simba na Yanga huwa wanapata penalty ambazo wapinzani wao ni nadra kuzipewa penalty za tukio la aina hiyo hiyo. Labda iwe clear sanaaa
 
Kwaio Wewe Mfano Ukiwa Kama Mchezaji Upo Na Mpira Kwenye Eneo La Penalty La Timu Yako Unaweza Ukabetua Mpira Kama Ukitaka Kuushika Unaweza Ukaushika Kidogo Kisha Ukapiga Mbele Na Ni Fresh Tu
Ukiushika kwa makusudi ni red card Ila ni faulu ndogo nje ya 18.
 
Back
Top Bottom