Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Wametulia kwanza wanasema pasport zimegoma kupakia kwenye mfumo wa mkopo kila wakijaribu size inakataa,hivyo wameona waje kwanza kunyegeka JFDirisha la bodi ya mikopo limeshafunguliwa, usije kusema sikukwambia.
Dogo ukikosa boom ucjetulaumu baadaeNdugu zangu hivi kuna goli tamu kama la kwanza?
Sisi wanaume huwa tunaenjoy sana goli la kwanza baada ya hapo huwa tunajitutumua tu kuweka heshima.
Vivyo hivyo kwa wanawake au nakosea dada zangu?
View attachment 2693082
Nina ujumbe wako kutoka juu. AsanteItakuwa nimimi nawewe tu broh, wengine hadi la 5 wanaenjoy naona!!!
Ili tujue tunaanzia wapiJinsia yako tafadhali..
Ndio Bandari zinauzwaWakuu.
Inakuaje wanaume wa sasa hawezi kurudia bao la pili.
Nini kifanyike.?