Ktk mechi sita sio katika ligi nzimaaana ndo kwanza lig ipo mzunguko wa saba je hzo 31 huko mbeleni,au jmesahau chilunda aliwapiga mechi ya mwisho?Goli bora kabisa la msimu
Ajib ni mchezaji wa mechi ndogoAjib ananifurahisha sana, mechi zote na Simba anagoma kucheza mpira wake, sijui mapenzi au anakuwa vizuri kwenye mechi average.
Hiyo avatar yako imenikumbusha nilivyokuwa napakatwa na Ng'wipagi mtoto wa shangazi!Liwekeni hapa tulione
Ajib ni mchezaji wa mechi ndogo
Tusilisahau hats like gori LA Awadhi Juma was A.Lyon, maana ilipigwa fatal nje ya 18, Manula alibaki kasimama akiweweseka na kizunguzungu. Uwanja wooote ulikaa kimyaaa.Naomba niwe muwazi .
Mimi ni mdau wa Simba Sports Club .
Goli la Ajibu ni goli zuri .
Ni goli alilolifunga akiwa hana upinzani wowote toka kwa walinzi wa Mbao FC , alikuwa na muda wa kutosha kufanya alichofanya . Akili na mwili wake vilikubaliana .Pia tunapomsifia Ajibu tusisahau pia hata goli la kichwa la Daud lilikuwa zuri .
Pamoja na ukweli huo , natofautiana sana maoni na wanailiita goli la msimu .
Msimu nd'o umeanza . Bado magoli mengi mazuri pengine kuliko hilo la Ajibu yatafungwa .
Yatafungwa na wachezaji tofauti au pengine hata huyo Ajibu bado anaweza kufunga magoli mengine mazuri kuliko hilo .
Mimi nafikiri tuseme ni moja kati ya magoli bora ambayo yameshafungwa mpaka sasa kuliko kuhitimisha msimu kwa goli moja tu .
Wenye akili kubwa watanielewa na wenye akili ndogo watatoa povu .
Nawasilisha .
Wewe Mbumbumbu FC tulia.Ktk mechi sita sio katika ligi nzimaaana ndo kwanza lig ipo mzunguko wa saba je hzo 31 huko mbeleni,au jmesahau chilunda aliwapiga mechi ya mwisho?
Pia ulibonyea kidogoGoal la Ajibu limewekewa kikao na FIFA leo kulijadili na kupima kasi yake maana nasikia ule ukingo wa goli ulitetema
Msimu wa migoli ya ajabu kutoka kwa ajibuMkuu mbona msimu wa Mpunga bado?? Au unazungumzia msimu wa nyanya??
Kwa nini alikuwa Hana upinzani wowote kutoka kwa mabeki wa Mbao? Walizembea? Walifanaya makusudi? Walikosea kujipanga? Walishtukizwa? Sidhani kama walizembea makusudi. Sidhani kama waliwachia makusudi. Ni kwa sababu shambulizi lenyewe (counter attack) halikuwapa muda wa kujipanga vyema, na kwa hivyo hiyo unayoiona ni kasoro ndio sifa mojawapo ya goli hilo. Na hichi ndicho kinachokosekana kwenye fowadi nyingi za Ligi Kuu, ikawamo Simba na Mbao . Wanashambulia sana, lakini bila ya mpangilio unaoeleweka na kwa taratibu sana. Bila ya kuwa na kasi wakati wa mashambulizi, wapinzani huwa hawafanyi makosa. Mnaishia na kosakosa nyingi, ambazo washabiki huona ndio magoli ya wazi. Hoja yangu ni kuwa kweli ni mojawapo ya magoli mazuri kuwahi kufungwa Uwanja wa Taifa, na hakuna sababu ya kulitafutia kasoro.Naomba niwe muwazi .
Mimi ni mdau wa Simba Sports Club .
Goli la Ajibu ni goli zuri .
Ni goli alilolifunga akiwa hana upinzani wowote toka kwa walinzi wa Mbao FC , alikuwa na muda wa kutosha kufanya alichofanya . Akili na mwili wake vilikubaliana .Pia tunapomsifia Ajibu tusisahau pia hata goli la kichwa la Daud lilikuwa zuri .
Pamoja na ukweli huo , natofautiana sana maoni na wanailiita goli la msimu .
Msimu nd'o umeanza . Bado magoli mengi mazuri pengine kuliko hilo la Ajibu yatafungwa .
Yatafungwa na wachezaji tofauti au pengine hata huyo Ajibu bado anaweza kufunga magoli mengine mazuri kuliko hilo .
Mimi nafikiri tuseme ni moja kati ya magoli bora ambayo yameshafungwa mpaka sasa kuliko kuhitimisha msimu kwa goli moja tu .
Wenye akili kubwa watanielewa na wenye akili ndogo watatoa povu .
Nawasilisha .
Liwekeni hapa tulione
Ajibu anajua kuwa ni mtoto wa Simba.
Kocha Amog ndiye aliyemlazimisha kusaini Yanga fc, kwa kitendo chake cha kumuweka benchi msimu mzima yeye na Mkude.
Ajibu ni zao la Simba, kama alivyo Ngasa.
Mrisho Ngasa aliwahi kuichezea Simba, na kwenye mechi na Yanga alikuwa anajidondosha tu akifika langoni kwa Yanga na hakuwahi kuifunga Yanga hata mechi moja, na hata alipokuwa Azam fc.
Ajibu ni mwanetu hawezi kutuangusha, labda apate nafasi ya wazi kabisa.
Mkuu.. Hili la familia nzima ya Kichuya kua Yanga lia lia na kila siku Shiza Ramadhani Kichuya anapeleka kilio nyumbani kwao pale Mnyama Mkali, Simba SC anapokutana na Ndala unalizungumziaje?Ajib ni zao la bombom fc,sasa uliza hao bombom fc wanafanyia uwanja gani mazoezi yao ndio utamjua vizuri ajib,halafu familia ya mzee migomba pale yote ni Yanga lia lia,ila endelea kujipa moyo tu mkuu
Kichuya atakuja tu kwenye timu yake ya moyoni,ile ni kama punish tu kwetu,kwani msimu m1 nyuma kabla ajaenda mikia alikuja kuomba kusajiliwa kwetu but tukampotezea,so ni kama anatuprove wrong tuMkuu.. Hili la familia nzima ya Kichuya kua Yanga lia lia na kila siku Shiza Ramadhani Kichuya anapeleka kilio nyumbani kwao pale Mnyama Mkali, Simba SC anapokutana na Ndala unalizungumziaje?
Huyu muandishi naona anaonesha mapenzi yake dhahiri kwa Ndala.Kichuya atakuja tu kwenye timu yake ya moyoni,ile ni kama punish tu kwetu,kwani msimu m1 nyuma kabla ajaenda mikia alikuja kuomba kusajiliwa kwetu but tukampotezea,so ni kama anatuprove wrong tuView attachment 891619
SawaAjib ni zao la bombom fc,sasa uliza hao bombom fc wanafanyia uwanja gani mazoezi yao ndio utamjua vizuri ajib,halafu familia ya mzee migomba pale yote ni Yanga lia lia,ila endelea kujipa moyo tu mkuu
Haha ni kweli mkuu.. mwamba ulipinda ule naskia..Goal la Ajibu limewekewa kikao na FIFA leo kulijadili na kupima kasi yake maana nasikia ule ukingo wa goli ulitetema