OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Goli la dogo Pape Sakho ambalo linawania Tuzo ya Goli Bora la Mwaka la CAF limeingia kwenye orodha ya magoli matatu ya mwisho ambayo yanawania tuzo hiyo.
Sakho anachuana na Gabadinho Mango wa Orlando Pirates na Zouhair El Mountaraji wa Wydad Athletic Club.
.
Tuzo hizo zitatolewa kesho Alhamisi ya Julai 21, 2022 huko Rabat, Morocco
My Take
CEO nyoosha suti maridadi ya kupokea tunzo. Nasema hivyo kwa sababu nikiangalia magoli ya wengine hakuna goli la kulizidi goli letu. Lile ni goli ni kufuru, ni goli la kidunia
Sakho anachuana na Gabadinho Mango wa Orlando Pirates na Zouhair El Mountaraji wa Wydad Athletic Club.
.
Tuzo hizo zitatolewa kesho Alhamisi ya Julai 21, 2022 huko Rabat, Morocco
My Take
CEO nyoosha suti maridadi ya kupokea tunzo. Nasema hivyo kwa sababu nikiangalia magoli ya wengine hakuna goli la kulizidi goli letu. Lile ni goli ni kufuru, ni goli la kidunia