KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Chukua tano mkuu![emoji109]
Teh teh teh teh umeuwa mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] zile rangi zina laana ya mchonga
Ha Ha ah a kumbe Ali Mustafa, nlijua MunisiBarthez
pumba za Jukwaa la Siasa unazileta mpaka huku, hujui maana ya mchoro weweMbona anayepiga mpira siyo kichuya ni mwanamke mmoja hivi.
malizia na mchezaji aliefunga goli hilo anatokea timu inayoitwa Simba sports club.goli kama lile hutokea tena kila baada ya miaka 10 duniani kote.safari hii limepatikana TANZANIA
kama kupatwa vilegoli kama lile hutokea tena kila baada ya miaka 10 duniani kote.safari hii limepatikana TANZANIA
Kwa mimi naona ni zaidi ya Trig, nafikiri ni hyperbolic au Projectile Motion.Hapa mguu wa Kichuya alifanya kitu kinaitwa Trigonometric Equation:
goli kama lile hutokea tena kila baada ya miaka 10 duniani kote.safari hii limepatikana TANZANIA
Huo ni mguu wa kushoto ila picha hiyo ni mirror image....kama vile unavyojitazama kwenye kioo...kulia kunaonekana kama vile kushoto. Umeona eeh?Mbona picha inaonesha anapigia kulia wakati alitumia kushoto kufunga goli...........au mchoro wa kwako huu???!!!
Huku mtaani mnaita nini mkuuGongo na kua kali
Duhh umenikumbusha mbaaali sana. Kitu kinalea huku kiko kwenye mkunjo wa mwendokasiKwa mimi naona ni zaidi ya Trig, nafikiri ni hyperbolic au Projectile Motion.
Tatizo simba wanakelele sana,hawana tafauti na vyura wa masika. Kelele nyingi ukirusha jiwe moja tuu woooooote kimyaaaKichuya kama beckam
wewe mkuu hujaelewa mada, teh teh wapi nimeshangilia sare, huu ufundi wa Kichuya hata mwana Yanga anaweza kuuzungumzia. Hili ni goli ta Kitaifa, linawakilisha nchi huko FIFAHata wewe mkuu!!!
Unashangilia sare!!!
Hapo kwenye redi unataka kumaanisha nini?usije kumaanisha vyura wa bonde la KaundaTatizo simba wanakelele sana,hawana tafauti na vyura wa masika. Kelele nyingi ukirusha jiwe moja tuu woooooote kimyaaa