Pia wakati Chama anafunga hakuwa offsideKumbe unaweza kuangaalia mpira halafau tukio likarudiwa na usielewe. Ile imeamuliwa kuwa sio offside alifunga hakuwa kwavile kwa marejeo ya replay yule mchezaji kwenye nafasi ya kuotea wakati pasi inapigwa na kuna beki wa Arsenal yupo nae sambamba angalia baada ya kuchora mstari wa offside utaona mchezaji alikuwa onside na wameandika kabisa kuwa onside. Rudia kuangalia tena uelewe hata haifanani na ya SimbaView attachment 2124741
Pia wakati Chama anafunga hakuwa offside
Ila wakati Mpira uliomgonga beki wa Arsenal umepigwa Mfungaji si alionekana kama yupo offside?.
Na haifanani vipi wakati lineman alishakataa goli?, wewe na yeye nani alipaswa kuona vizuri zaidi?...huo si ndio utata ninaouzungumzia...kama sio VAR si lingekataliwa?...kama hilo lina utata na la Simba si pia limeleta utata?.