Goli la tegete(taifa stars) linatufundisha nini waamuzi wetu tanzania???

Goli la tegete(taifa stars) linatufundisha nini waamuzi wetu tanzania???

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
hongera TAIFA STARS
hilo ndilo neno nililosema baada ya mechi ya jana na wale wazungu
lakini bado naendelea kulijadili lile goli la kurudisha la taifa stars
nahisi waamuzi wetu wanatakiwa kuwa makini na kujua kazi iliyowaleta pale uwanjani....,yule mwamuzi jana alikuwa kwanza hatembeii yeye anapuuliza akiwa mbali na mpira...mistake hiyo ndiyo iliyomponza akaruhusu goli la kurudisha lilofungwa na mchezaji tegete;mungu akiwapa kurudia kuangalia upya mtamwona yule kijana....,alifunga kwa mkono..sasa bado najiuliza inatufundisha nini wamuzi wa bongo..na je mpira wetu utakuwa kwa sytle hii

la hasha kila la kheri

TAIFA STARS
 
Mazee iweke hii ishu kwenye Youtube ili wote tujue tunajadili nini; IF POSSIBLE.
 
Mazee iweke hii ishu kwenye Youtube ili wote tujue tunajadili nini; IF POSSIBLE.
__________________
tukiweka kila kitu kwenye U2B MKUU ...Mhhhh
 
Mazee iweke hii ishu kwenye Youtube ili wote tujue tunajadili nini; IF POSSIBLE.
__________________
tukiweka kila kitu kwenye u2b mkuu mmmhh!!!haya ngoja niulizie waliorecrd
 
Kufunga goli kwa mkono ni kitu cha kawaida kwa wachezaji wajanja kama maradona enzi zake wala haikhisiani na kukua kwa kiwango cha mpira.serikali iongeze juhudi za kuleta makocha wa uhakika tz itafika mahali pa kuwa juu kisoka.
 
Kumbe tumecheat? Doh, mechi niliikosa so sikupata hiyo taarifa.
 
Goli la Tegete ni harakati za TFF kuepusha zomea zomea kwa Maximo na kuipandisha TZ katika FIFA ranks. Nimefurahi sana kuona Rwanda wakicheza qualifying ya WC huku sisi tukihangaika kupanda katika rank za FIFA. Viva Maximo, Viva TZ
 
hongera TAIFA STARS
hilo ndilo neno nililosema baada ya mechi ya jana na wale wazungu
lakini bado naendelea kulijadili lile goli la kurudisha la taifa stars
nahisi waamuzi wetu wanatakiwa kuwa makini na kujua kazi iliyowaleta pale uwanjani....,yule mwamuzi jana alikuwa kwanza hatembeii yeye anapuuliza akiwa mbali na mpira...mistake hiyo ndiyo iliyomponza akaruhusu goli la kurudisha lilofungwa na mchezaji tegete;mungu akiwapa kurudia kuangalia upya mtamwona yule kijana....,alifunga kwa mkono..sasa bado najiuliza inatufundisha nini wamuzi wa bongo..na je mpira wetu utakuwa kwa sytle hii

la hasha kila la kheri

TAIFA STARS

Kufunga bao kwa mkono na likakubalika ni ujanja katika mchezo wa mpira. Kama unadhani ni rahisi basi hata wao (wazungu) wangefunga hata kwa mikono yote miwili.

waswahili bwana! tukifungwa taabu, tukifunga taabu, je mnataka nini????????
 
Assalamu alaykum.

i jana tu nimekuwa naiangalia hii mechi kwenye video.
Hakika wa Tz walicheza vizuri sana. Kuna makosa mengi madogo madogo ya hapa na pale. Lakin refa alijitahidi sana kuwa fair. Hata goli la kusawazisha la Tegete ni miongoni mwa magoli mazuri amabyo yameonyesha wazi kukuwa kwa kandanda la bongo.

Hakika kocha alijitahidi sana kubadilisha mchezo katika kipindi cha pili.

KAKIKA TIMU YA TZ IMEIMARIKA SANA. TUNAWAPONGEZA
 
Back
Top Bottom