Goli la wazi la Yanga lakataliwa na mwamuzi kwenye mchezo baina ya Yanga na Kagera Sugar

Goli la wazi la Yanga lakataliwa na mwamuzi kwenye mchezo baina ya Yanga na Kagera Sugar

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Kwa wale wote waliofuatilia mchezo wa Yanga na Kagera Sukari lile goli la Guede lililokataliwa na refa lilikuwa goli halali na hapakuwa na kuotea. Nawashauri marefa tendeni haki ili kila timu ipate haki yake katika michezo yake yote inayocheza dhidi ya wapinzani wao.
 
Kwa wale wote waliofuatilia mchezo wa Yanga na Kagera Sukari lile goli la Guede lililokataliwa na refa lilikuwa goli halali na hapakuwa na kuotea. Nawashauri marefa tendeni haki ili kila timu ipate haki yake katika michezo yake yote inayocheza dhidi ya wapinzani wao.
lilikuwa goli halali sema refa nae ni binadamu
 
Back
Top Bottom