Kwa wale wote waliofuatilia mchezo wa Yanga na Kagera Sukari lile goli la Guede lililokataliwa na refa lilikuwa goli halali na hapakuwa na kuotea. Nawashauri marefa tendeni haki ili kila timu ipate haki yake katika michezo yake yote inayocheza dhidi ya wapinzani wao.