Wakuu,naomba tupeane ushauri na uzoefu.Je kwa mtu mwenye uwezo wa kwenda round moja tu wakati wa kufanya mapenzi,anaweza kutunga mimba kwa mwanamke?Au kuna wakati goli moja halitoshi?Naomba tupane uzoefu na utaalamu.Mfano umelenga siku za 11 hadi 17 kwa mwanamama mwenye mzunguko wa siku 28,ukawa unapiga kamoja kila siku,je unaweza kutunga mimba?
Mkombozi hujapita jando? Kungwi wangu aliniambia ili mimba itungwe ni lazima umimine uji kwa masaa matano bila kutoka kiunoni.Wakuu,naomba tupeane ushauri na uzoefu.Je kwa mtu mwenye uwezo wa kwenda round moja tu wakati wa kufanya mapenzi,anaweza kutunga mimba kwa mwanamke?Au kuna wakati goli moja halitoshi?Naomba tupane uzoefu na utaalamu.Mfano umelenga siku za 11 hadi 17 kwa mwanamama mwenye mzunguko wa siku 28,ukawa unapiga kamoja kila siku,je unaweza kutunga mimba?
Hivi sekondari siku hizi hakuna somo la 'Biology'? Hat sayansi ya shule ya msingi imefutwa siku hizi?
Wakuu,naomba tupeane ushauri na uzoefu.Je kwa mtu mwenye uwezo wa kwenda round moja tu wakati wa kufanya mapenzi,anaweza kutunga mimba kwa mwanamke?Au kuna wakati goli moja halitoshi?Naomba tupane uzoefu na utaalamu.Mfano umelenga siku za 11 hadi 17 kwa mwanamama mwenye mzunguko wa siku 28,ukawa unapiga kamoja kila siku,je unaweza kutunga mimba?
Tumuulize kawambwaHivi sekondari siku hizi hakuna somo la 'Biology'? Hat sayansi ya shule ya msingi imefutwa siku hizi?