THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,224
- 4,472
Wivu na chuki kwa Yanga ndio unaokusumbua, mpira wa miguu ni mchezo wa makosa, na ni kawaida kwa wachezaji kufanya makosa na kuadhibiwa. Kipa wa KMC aliokoa michomo mingi sana hadi kupelekea kutaka kumfokea beki wake kwa makosa.Kilichokuwa kinafanywa na kina Adrew Vicent na kipa haiihitaji akili ya roketi kujua kinachoendelea,match fixing lazima maigizo yafanyike ili isijulikane,aruke pembeni ionekana kalipwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona mtu anaongea hivi ujue sio mzima kichwani "mchezaji wa Yanga anapiga shuti beki mwingine anaokoa, bahati mbaya unamkuta tena mchezaji mwingine wa Yanga kipa anajifanya anaokoa"NIMESOMA ILA NILIPOFIKA KWENYE MANENO HAYA Nikaacha mchezaji Yanga anapiga shuti beki mwingine anaokoa, bahati mbaya unamkuta tena mchezaji mwingine wa Yanga.... Hivi inakuaje MATCH FIXING Inahusisha BAHAT MBAYA?
#PUZIKA KWA AMANI LOWASSA KWELI ELIMU INAHITAJIKA BONGO
Kuna Mda Mkuuu najiuliza au Milembe wanaruhusu simu siku hizi??Ukiona mtu anaongea hivi ujue sio mzima kichwani "mchezaji wa Yanga anapiga shuti beki mwingine anaokoa, bahati mbaya unamkuta tena mchezaji mwingine wa Yanga kipa anajifanya anaokoa"
Sijui kwanini wanaruhusu watu wajinga wajiunge humu JF
Mnawalaumu KMC kufungwa 3 wakati nyie mlipigwa [emoji2772]Bahasha zinaathiri mpira,hata ningeanza kufuatilia mpira jana maigizo yanajulikana na mistakes zinajulikana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umekata tamaa ndani sasa unatafuta timu kutoka nje ya kuifunga YangaWaache watajuana wenyewe.Wanasubiriwa nchi za mbele ili wafundishwe adabu.
Hata KMC wamecheza na majini, Subirini marudio majini bado yapo mtapigwa 5 g tena mkafukuze kocha
Ni hao hao waliokula tano. Labda na wao kulikuwa na match fixingUnaoneka mpira umeujulia ukubwani.
Hawana akili hawa mbumbumbu wanajisahaulisha na wao walikula zao TANO.Ni hao hao waliokula tano. Labda na wao kulikuwa na match fixing
Hata Simba walifanya fixing ile tarehe 5 /11 /2023 pale walipokula Kono la nyani🤚🤚🤚🤚🤚Azam media wameweka magoli yote mitandaoni, nimepata wasaa wa kuangalia goli la Yanga dk ya kwanza kilichofanyika ni match fixing ya wazi.
Angalia video kwa umakini na kwa slow motion, beki wa KMC anamrudishia mpira kipa wake, kipa badala ya kupiga mpira kwa nguvu mbele anampa mchezaji wa Yanga vizuri kabisa halafu anasimama,mchezaji wa Yanga anapiga shuti beki mwingine anaokoa, bahati mbaya unamkuta tena mchezaji mwingine wa Yanga kipa anajifanya anaokoa kwa kuutenga kwa Mudhathir wakati huo yule beki wa mwanzoni aliyemrudishia anakimbia anajifanya anablock mpira ila anauruka kijanja mpira unapita alipo golikipa naye anasimama tu akiungalia halafu wanajifanya wanasikitika kama movie za Sinema Zetu.
Huo mchezo ukaendelea tena kwa mda Adrew Vicent, Kipa na beki mmoja pale nyuma wakisuka mipango thabiti Yanga kuongeza magoli, half time KMC wakashtukia mchezo wakamtoa kipa.
Inashangaza sana mpinzani ni mbovu na bado mnanunua game.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mashabiki wengi wa simba mnaishi na maumivu makali sana kwenye miili yenu. Ndiyo maana hata timu yenu ikishinda, bado mnalalamika. Watu wa ajabu sana nyinyi.Azam media wameweka magoli yote mitandaoni, nimepata wasaa wa kuangalia goli la Yanga dk ya kwanza kilichofanyika ni match fixing ya wazi.
Angalia video kwa umakini na kwa slow motion, beki wa KMC anamrudishia mpira kipa wake, kipa badala ya kupiga mpira kwa nguvu mbele anampa mchezaji wa Yanga vizuri kabisa halafu anasimama,mchezaji wa Yanga anapiga shuti beki mwingine anaokoa, bahati mbaya unamkuta tena mchezaji mwingine wa Yanga kipa anajifanya anaokoa kwa kuutenga kwa Mudhathir wakati huo yule beki wa mwanzoni aliyemrudishia anakimbia anajifanya anablock mpira ila anauruka kijanja mpira unapita alipo golikipa naye anasimama tu akiungalia halafu wanajifanya wanasikitika kama movie za Sinema Zetu.
Huo mchezo ukaendelea tena kwa mda Adrew Vicent, Kipa na beki mmoja pale nyuma wakisuka mipango thabiti Yanga kuongeza magoli, half time KMC wakashtukia mchezo wakamtoa kipa.
Inashangaza sana mpinzani ni mbovu na bado mnanunua game.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pela malalamiko FIFAAzam media wameweka magoli yote mitandaoni, nimepata wasaa wa kuangalia goli la Yanga dk ya kwanza kilichofanyika ni match fixing ya wazi.
Angalia video kwa umakini na kwa slow motion, beki wa KMC anamrudishia mpira kipa wake, kipa badala ya kupiga mpira kwa nguvu mbele anampa mchezaji wa Yanga vizuri kabisa halafu anasimama,mchezaji wa Yanga anapiga shuti beki mwingine anaokoa, bahati mbaya unamkuta tena mchezaji mwingine wa Yanga kipa anajifanya anaokoa kwa kuutenga kwa Mudhathir wakati huo yule beki wa mwanzoni aliyemrudishia anakimbia anajifanya anablock mpira ila anauruka kijanja mpira unapita alipo golikipa naye anasimama tu akiungalia halafu wanajifanya wanasikitika kama movie za Sinema Zetu.
Huo mchezo ukaendelea tena kwa mda Adrew Vicent, Kipa na beki mmoja pale nyuma wakisuka mipango thabiti Yanga kuongeza magoli, half time KMC wakashtukia mchezo wakamtoa kipa.
Inashangaza sana mpinzani ni mbovu na bado mnanunua game.
Sent using Jamii Forums mobile app
Fact👋Wewe una akili ndogo sana ya kufikiria, sasa kama ilikuwa ni match fixing huyo beki alikuwa anahaja gani ya kuangaika kuokoa? Na kipa nae alikuwa na sababu gani ya kuangaika kuokoa ile shuti? Si angeruka pembeni tu au angesimama tu kuungalia mpira kama alivyofanya yule kipa wa Tabora dhidi ya Simba? Mpira wa KMC ndio ule ule wa kujiamini kuanzia kwa kipa na kwenda mbele kama uliangalia mechi ya Simba vs KMC utaona KMC ni kawaida kurudisha mpira kwa kipa na kuanzisha mashambulizi tokea golini kwao. Kama lengo ni kuwapa Yanga goli basi walikuwa hawana sababu ya kupambana kuokoa kwa kuwango kikubwa vile.