Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Nikweli kabisa mkuu rushwa ilitumika hata ile siku ya goli 5Bahasha zinaathiri mpira,hata ningeanza kufuatilia mpira jana maigizo yanajulikana na mistakes zinajulikana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesema ukweli mtupu na Watu wa Mpira wa Tanzania na Manguli wa Michezo michafu ya Viwanjani tunajua kuwa Biashara ya Miamala ya Tigo Pesa imefanyika na ukibisha hili huna Akili na umetawaliwa na Unafiki.Azam media wameweka magoli yote mitandaoni, nimepata wasaa wa kuangalia goli la Yanga dk ya kwanza kilichofanyika ni match fixing ya wazi.
Angalia video kwa umakini na kwa slow motion, beki wa KMC anamrudishia mpira kipa wake, kipa badala ya kupiga mpira kwa nguvu mbele anampa mchezaji wa Yanga vizuri kabisa halafu anasimama,mchezaji wa Yanga anapiga shuti beki mwingine anaokoa, bahati mbaya unamkuta tena mchezaji mwingine wa Yanga kipa anajifanya anaokoa kwa kuutenga kwa Mudhathir wakati huo yule beki wa mwanzoni aliyemrudishia anakimbia anajifanya anablock mpira ila anauruka kijanja mpira unapita alipo golikipa naye anasimama tu akiungalia halafu wanajifanya wanasikitika kama movie za Sinema Zetu.
Huo mchezo ukaendelea tena kwa mda Adrew Vicent, Kipa na beki mmoja pale nyuma wakisuka mipango thabiti Yanga kuongeza magoli, half time KMC wakashtukia mchezo wakamtoa kipa.
Inashangaza sana mpinzani ni mbovu na bado mnanunua game.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona huko kwa KMC umeenda mbali sana, hata ile game Simba tunapigwa 5 na Yanga, amini kabisa Engineer aliinunua. Yaani Manula anafungwaje vile? Inonga anacheza amelegea kama mlenga. Chemalon utadhani kaleweshwa gongo, Zimbwe anacheza kama mchezaji wa Simba queen, Chama alikuwa kama Chapati inayokaangwa, Kibu Denis angalau yeye aligoma kuchukua bahasha, Robertinho ndio alinunuliwa mapema kabisa.Azam media wameweka magoli yote mitandaoni, nimepata wasaa wa kuangalia goli la Yanga dk ya kwanza kilichofanyika ni match fixing ya wazi.
Angalia video kwa umakini na kwa slow motion, beki wa KMC anamrudishia mpira kipa wake, kipa badala ya kupiga mpira kwa nguvu mbele anampa mchezaji wa Yanga vizuri kabisa halafu anasimama,mchezaji wa Yanga anapiga shuti beki mwingine anaokoa, bahati mbaya unamkuta tena mchezaji mwingine wa Yanga kipa anajifanya anaokoa kwa kuutenga kwa Mudhathir wakati huo yule beki wa mwanzoni aliyemrudishia anakimbia anajifanya anablock mpira ila anauruka kijanja mpira unapita alipo golikipa naye anasimama tu akiungalia halafu wanajifanya wanasikitika kama movie za Sinema Zetu.
Huo mchezo ukaendelea tena kwa mda Adrew Vicent, Kipa na beki mmoja pale nyuma wakisuka mipango thabiti Yanga kuongeza magoli, half time KMC wakashtukia mchezo wakamtoa kipa.
Inashangaza sana mpinzani ni mbovu na bado mnanunua game.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hojaUnaoneka mpira umeujulia ukubwani.
Kama siku ya tabora vs Simba tu na kama unabisha na hili huna akili na umetawaliwa na unafiki.Umesema ukweli mtupu na Watu wa Mpira wa Tanzania na Manguli wa Michezo michafu ya Viwanjani tunajua kuwa Biashara ya Miamala ya Tigo Pesa imefanyika na ukibisha hili huna Akili na umetawaliwa na Unafiki.
Kichwani ziro!Azam media wameweka magoli yote mitandaoni, nimepata wasaa wa kuangalia goli la Yanga dk ya kwanza kilichofanyika ni match fixing ya wazi.
beki mmoja pale nyuma wakisuka mipango thabiti Yanga kuongeza magoli, half time KMC wakashtukia mchezo wakamtoa kipa.
Inashangaza sana mpinzani ni mbovu na bado mnanunua game.
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi apewe kombe lake kabisa maana hakuna wa kumzuia Yanga kwa match fixing. Maana hata ile tarehe 5 zile goli tano alizopigwa Kolo nazo ilikuwa match fixing. [emoji2958][emoji2958]Azam media wameweka magoli yote mitandaoni, nimepata wasaa wa kuangalia goli la Yanga dk ya kwanza kilichofanyika ni match fixing ya wazi.
Angalia video kwa umakini na kwa slow motion, beki wa KMC anamrudishia mpira kipa wake, kipa badala ya kupiga mpira kwa nguvu mbele anampa mchezaji wa Yanga vizuri kabisa halafu anasimama,mchezaji wa Yanga anapiga shuti beki mwingine anaokoa, bahati mbaya unamkuta tena mchezaji mwingine wa Yanga kipa anajifanya anaokoa kwa kuutenga kwa Mudhathir wakati huo yule beki wa mwanzoni aliyemrudishia anakimbia anajifanya anablock mpira ila anauruka kijanja mpira unapita alipo golikipa naye anasimama tu akiungalia halafu wanajifanya wanasikitika kama movie za Sinema Zetu.
Huo mchezo ukaendelea tena kwa mda Adrew Vicent, Kipa na beki mmoja pale nyuma wakisuka mipango thabiti Yanga kuongeza magoli, half time KMC wakashtukia mchezo wakamtoa kipa.
Inashangaza sana mpinzani ni mbovu na bado mnanunua game.
Sent using Jamii Forums mobile app
Goli 5 simba ilizidiwa hamna anayebisha,ila kuweni na aibu kununua gameBasi apewe kombe lake kabisa maana hakuna wa kumzuia Yanga kwa match fixing. Maana hata ile tarehe 5 zile goli tano alizopigwa Kolo nazo ilikuwa match fixing. [emoji2958][emoji2958]
Kama uliangalia mechi jana,yule kipa wa KMC aliyeanza sidhani kama utamwelewa kwa michezo yakeMshika kibendera wa mechi ya. Kagera na yanga wamemsimamisha Kadi nyekunduya mchezaji wa. Prison imefutwa ni wazi bahasha zinatembea
Azam media wameweka magoli yote mitandaoni, nimepata wasaa wa kuangalia goli la Yanga dk ya kwanza kilichofanyika ni match fixing ya wazi.
Angalia video kwa umakini na kwa slow motion, beki wa KMC anamrudishia mpira kipa wake, kipa badala ya kupiga mpira kwa nguvu mbele anampa mchezaji wa Yanga vizuri kabisa halafu anasimama,mchezaji wa Yanga anapiga shuti beki mwingine anaokoa, bahati mbaya unamkuta tena mchezaji mwingine wa Yanga kipa anajifanya anaokoa kwa kuutenga kwa Mudhathir wakati huo yule beki wa mwanzoni aliyemrudishia anakimbia anajifanya anablock mpira ila anauruka kijanja mpira unapita alipo golikipa naye anasimama tu akiungalia halafu wanajifanya wanasikitika kama movie za Sinema Zetu.
Huo mchezo ukaendelea tena kwa mda Adrew Vicent, Kipa na beki mmoja pale nyuma wakisuka mipango thabiti Yanga kuongeza magoli, half time KMC wakashtukia mchezo wakamtoa kipa.
Inashangaza sana mpinzani ni mbovu na bado mnanunua game.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani Simba afungwe goli tano ambazo unaona ni za halali, halafu Yanga ihangaike kununua mechi dhidi ya KMC, unataka kusema kwamba KMC ni timu bora na ngumu zaidi kuliko Simba?Goli 5 simba ilizidiwa hamna anayebisha,ila kuweni na aibu kununua game
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku zako za kula ban zinakaribia.Umesema ukweli mtupu na Watu wa Mpira wa Tanzania na Manguli wa Michezo michafu ya Viwanjani tunajua kuwa Biashara ya Miamala ya Tigo Pesa imefanyika na ukibisha hili huna Akili na umetawaliwa na Unafiki.