wakimataifa.
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 1,625
- 558
Alipokuja huyo golikipa wa Ghana tuliambiwa anachezea timu ya taifa na aliwazuia Brazil kombe la dunia sasa nawauliza mbona hajaenda kwenye Afcon? Au tulipigwa changa la macho hao ndio viongozi wa simba