wakimataifa.
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 1,625
- 558
Subiri Sembo aje. Mzee wa takwimu za mnyama.alipokuja huyo golikipa wa Ghana tuliambiwa anachezea timu ya taifa na aliwazuia Brazil kombe la dunia sasa nawauliza mbona hajaenda kwenye afcon?au tulipigwa changa la macho hao ndio viongozi wa simba
Ni kweli hata ile Medeama Fc ilyokuja kucheza na Yanga na Agyei akawepo golini ni ya MwanjelwaAlicheza za kirafiki aka ndondo za taifa kidogo kashuka kiwango na hata timu za Ghana hawezi pata. Matope FC.
Mbona beki wa Togo anacheza ligi ya bongo nakaitwa kwenda AfconSubiri Sembo aje. Mzee wa takwimu za mnyama.
Akili tu ya kawaida, mlinda mlango wa Black Stars aje kuchezea matope Bongo?
Labda dunia imekengeuka!
Point ni kua.. Daniel Aggrei ni one best and respected goalkeeper kuwahi kushuhudiwa nchini Ghana.. Akiwa katika milingoti miwili, aliiwezesha Ghana kutwaa kombe la dunia mbele ya Brazil inayoongozwa na kina Neymar.. what a player??! Suala la kwanini hayupo AFCON ni la kocha.. ila Daniel hakuna wa kuchukua namba yake katika timu ya Taifa.. Yanayomkuta ni yale yale ya Juma Kaseja na Maximo.Subiri Sembo aje. Mzee wa takwimu za mnyama.
Akili tu ya kawaida, mlinda mlango wa Black Stars aje kuchezea matope Bongo?
Labda dunia imekengeuka!
Uliambiwa na nani?Hilo ni shati tu kama Angban ambaye tuliambiwa katoka timu ya vijana ys Chelsea.
Chai.Point ni kua.. Daniel Aggrei ni one best and respected goalkeeper kuwahi kushuhudiwa nchini Ghana.. Akiwa katika milingoti miwili, aliiwezesha Ghana kutwaa kombe la dunia mbele ya Brazil inayoongozwa na kina Neymar.. what a player??! Suala la kwanini hayupo AFCON ni la kocha.. ila Daniel hakuna wa kuchukua namba yake katika timu ya Taifa.. Yanayomkuta ni yale yale ya Juma Kaseja na Maximo.
cc wakimataifa.
... na mihogo.Chai.