si hatari hiyo,
gongo ni mbaya sana jamani,yaani unakuta mtu kavimba tumbo na miguu na mashavu hapo figo zishafail.
kweli ibilisi anajua kuwatesa watu wa Mungu,halafu sasa wakinywa wanakunja sura halafu ikipita kooni unasikia jinsi anavyogugumia kwa maumivu.
Hivi mtu anakunywa ili alewe au aenjoy coz sielewei kinachosababisha mtu ateseke hivi.
Ni zaidi ya viagra lazima ndoa iwe na heshima.... ndo maana wanywa gongo watoto wao wamefanana na baba zao
Rev ina maana umezionja zote? vipi ya kwetu Iringa???
Jamani gongo ipi nzuri! Kigoma, Mwanza na Shinyanga wanatengeneza za mihogo! Kagera wao wanatengeneza za Ndizi. Wale wa mkoa wa Mara wanatengeneza gongo la mapapai na mavi! Morogoro wao wanapika gongo la miwa AMA sukari guru ! Pwani wao gongo Lao la mananasi. Nimejaribu zote ila gongo la Mwanza nililipenda sana kule kwenye vilima vya Bugando!
Jamani gongo ipi nzuri! Kigoma, Mwanza na Shinyanga wanatengeneza za mihogo! Kagera wao wanatengeneza za Ndizi. Wale wa mkoa wa Mara wanatengeneza gongo la mapapai na mavi! Morogoro wao wanapika gongo la miwa AMA sukari guru ! Pwani wao gongo Lao la mananasi. Nimejaribu zote ila gongo la Mwanza nililipenda sana kule kwenye vilima vya Bugando!
Mchungaji samahani kwanza kwa swali langu,hivi kama wewe ni mfanyabiashara wa gongo na akaja mtu na kukuibia gongo yako yote uliyonayo, utamshitaki wapi?
Unatafuta njia za kumalizana naye! Hakuna Mashtaka hapo. Nikuulize na wewe mfano ukienda kuvunja gereza na kuiba ukishikwa utafungwa wapi?
Hahahahah niliogopa taja ile ya Gongo la Mboto maana nasikia inamilikia na IGP mstaafu! Mzee Mahita