NATA JF-Expert Member Joined May 10, 2007 Posts 4,492 Reaction score 1,313 Oct 15, 2012 #1 Wananchi wa Nkasi wataka gongo ilihusiwe kikatiba Waionaje hii hoja? source mwananchi leo
NATA JF-Expert Member Joined May 10, 2007 Posts 4,492 Reaction score 1,313 Oct 15, 2012 Thread starter #2 Mwananchi aliyetoa hoja hiyo amesisistiza umuhimu wa kuruhusu gongo kikatiba kwani imekuwa mkombozi wa wananchi wa Nkasi kama chanzo cha mapato kwa ajili ya kusomesha watoto wao na imekuwa ikiingiza pesa nyingi sana kwa wauzaji.
Mwananchi aliyetoa hoja hiyo amesisistiza umuhimu wa kuruhusu gongo kikatiba kwani imekuwa mkombozi wa wananchi wa Nkasi kama chanzo cha mapato kwa ajili ya kusomesha watoto wao na imekuwa ikiingiza pesa nyingi sana kwa wauzaji.
mama D JF-Expert Member Joined Nov 22, 2010 Posts 19,981 Reaction score 35,581 Oct 15, 2012 #3 hata isiporuhusiwa inauzwa na inanyweka na waliopewa dhamana ya kudhibiti hiyo gongo ndio wanywaji wakubwa!
hata isiporuhusiwa inauzwa na inanyweka na waliopewa dhamana ya kudhibiti hiyo gongo ndio wanywaji wakubwa!
Kertel JF-Expert Member Joined May 11, 2012 Posts 5,425 Reaction score 5,227 Oct 15, 2012 #4 Legalise it
J joel amani Senior Member Joined Nov 22, 2011 Posts 100 Reaction score 8 Oct 15, 2012 #5 hata mimi nashauri iruhusiwe kutumiwa mana madaktari wengi sana wanatumia gongo hata baadhi ya wakubwa na waheshimiwa wanatumia gongo
hata mimi nashauri iruhusiwe kutumiwa mana madaktari wengi sana wanatumia gongo hata baadhi ya wakubwa na waheshimiwa wanatumia gongo