DOKEZO Gongo la Mboto - Majohe kuna uchimbaji mchanga wa kiholela, NEMC fanyeni jambo

DOKEZO Gongo la Mboto - Majohe kuna uchimbaji mchanga wa kiholela, NEMC fanyeni jambo

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Nyakijooga

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2018
Posts
276
Reaction score
473
Mimi ni Mkazi wa Gongo la Mboto Majohe, Dar es Salaam, huku kwetu kuna tatizo la uchimbaji mchanga sana, sisi Wananchi tunahofia Bonde linaweza kutanuka kutokana na uchimbaji huu

Wanaofanya hiyo kazi ya uchimbaji wamuogope Mungu, tumesharipoti katika ngazi mbalimbali za uongozi ila bado wanaendelea tu kufanya wanachokifanya ambacho ni hatari kwa usalama wa mazingira.

Inaonekana wanashirikiana na baadhi ya Wajumbe kutoka kwenye mashina yao ndio maana hawaogopi.

Mamlaka ya Mazingira wale NEMC waje huku wataona kinachoendelea, ni hatari sana.
photo_2024-11-05_15-12-54 (3).jpg

photo_2024-11-05_15-12-54 (2).jpg

photo_2024-11-05_15-12-54.jpg
 
Back
Top Bottom