Inkoskaz JF-Expert Member Joined Nov 6, 2010 Posts 6,361 Reaction score 2,378 Apr 29, 2012 #1 BONDIA CHEKA amemshinda Mpinzani wake Maga Maugo jana jumamosi kwa tko na kukabidhiwa zawadi ya gari furaha ambayo hakudumu nayo sana baada ya kugonga mtu na aliyegongwa kufariki.....
BONDIA CHEKA amemshinda Mpinzani wake Maga Maugo jana jumamosi kwa tko na kukabidhiwa zawadi ya gari furaha ambayo hakudumu nayo sana baada ya kugonga mtu na aliyegongwa kufariki.....
kichwat JF-Expert Member Joined Mar 4, 2010 Posts 1,819 Reaction score 588 Apr 29, 2012 #2 Duh! Isije kuwa ule usanii wa kutoa zawadi ya gari kwenye stage, halafu linarudi kwa mwenyewe baada ya pambano. Ndio mambo yao mapromota wa bongo.
Duh! Isije kuwa ule usanii wa kutoa zawadi ya gari kwenye stage, halafu linarudi kwa mwenyewe baada ya pambano. Ndio mambo yao mapromota wa bongo.
Inkoskaz JF-Expert Member Joined Nov 6, 2010 Posts 6,361 Reaction score 2,378 Apr 29, 2012 Thread starter #3 ni kweli amepata ajali ya kugonga mwendesha pijipiki maeneo ya Manzese na hilo limethibitishwa na RPC kinondoni...Radio One Stereo michezo usiku huu
ni kweli amepata ajali ya kugonga mwendesha pijipiki maeneo ya Manzese na hilo limethibitishwa na RPC kinondoni...Radio One Stereo michezo usiku huu
Ndibalema JF-Expert Member Joined Apr 26, 2008 Posts 10,955 Reaction score 4,656 Apr 29, 2012 #4 Unaweza kukuta kuna elements za kishirikina katika ushindi wake maana Wamatumbi tunajuana.!
Kombo JF-Expert Member Joined Oct 29, 2010 Posts 1,812 Reaction score 511 Apr 29, 2012 #5 Daaah...! Balaa hilo!
Sumba-Wanga JF-Expert Member Joined Feb 2, 2011 Posts 5,353 Reaction score 1,234 Apr 30, 2012 #6 Ndio maisha, nadhani alikuwa over excited na akajisahau
Shine JF-Expert Member Joined Feb 5, 2011 Posts 11,481 Reaction score 1,368 Apr 30, 2012 #7 Du hatari sana furaha haijadumu hata siku muja na kumletea matatizo teyari! So sad
Type JF-Expert Member Joined Apr 10, 2012 Posts 203 Reaction score 23 Apr 30, 2012 #8 Alikua anadraiv mwenyewe au? Inasikitisha sana, du!
King Kong III JF-Expert Member Joined Oct 15, 2010 Posts 56,205 Reaction score 79,515 Apr 30, 2012 #9 Wabongo kwa misifa kwann asingeipak yard akaenda kuichukua kesho yake au ndio ushamba wa gari?
Tonny JF-Expert Member Joined Sep 13, 2010 Posts 216 Reaction score 43 May 2, 2012 #10 king kong iii said: wabongo kwa misifa kwann asingeipak yard akaenda kuichukua kesho yake au ndio ushamba wa gari? Click to expand... angegonga hiyohiyo kesho yake
king kong iii said: wabongo kwa misifa kwann asingeipak yard akaenda kuichukua kesho yake au ndio ushamba wa gari? Click to expand... angegonga hiyohiyo kesho yake
Ennie JF-Expert Member Joined Jan 15, 2011 Posts 7,137 Reaction score 4,134 May 2, 2012 #11 Tonny said: angegonga hiyohiyo kesho yake Click to expand... Kwa hiyo ilikuwa ni lazima agonge?